FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Waziri wa mchezo na hata waziri mkuu wajiuzulu iwapo Yanga watapokwa ushindi sababu ya taa za uwanja wa taifa Benjamni Mkapa uzima . Kwanini uwanja usiwe na Auto generator?

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka sasa hawa rivers hawana mbinu za kufanya maajabu yoyote.
 
Mkuu kupata habari za mpira haihitaji kuja mjini.
Niko porini na wanyama lakini nina taarifa zote za mjini.
Usikariri dunia ni kijiji
una taarifa zote hujui kama mechi ya simba na al masry umeme ulikatika

ama wewe una taarifa gani
 
Simba alicheza fainali ya CAF cup na wala haikuwa kombe la shirikisho.
Kombe la shirikisho lilikuwa linaitwa Africa cup winner's cup ambapo mwaka 1993 bingwa alikuwa Al Ahly. Na bingwa wa klabu bingwa ambapo kwa kipindi hiko ilikuwa inaitwa Africa cup of champions club akawa ni Zamalek. Kwenye Caf super cup ambapo bingwa wa klabu bingwa anacheza na bingwa wa kombe la shirikisho, ikapigwa kati ya Al Ahly vs Zamalek kisha Zamalek akabeba kombe la CAF super cup.View attachment 2605330
Hiki ulichokiweka hapa hata Wewe unaweza Kuingia kwenye Net Ukaedit.
 
Hawa Rivers nilisema toka gemu ya kwanza wangekuwa na mshambuliaji wa kati wa maana pale mbele, Yanga asingemfunga hata gemu 1. Kiuwezo haina tofauti sana na Yanga.
 
Simba alicheza fainali ya CAF cup na wala haikuwa kombe la shirikisho.
Kombe la shirikisho lilikuwa linaitwa Africa cup winner's cup ambapo mwaka 1993 bingwa alikuwa Al Ahly. Na bingwa wa klabu bingwa ambapo kwa kipindi hiko ilikuwa inaitwa Africa cup of champions club akawa ni Zamalek. Kwenye Caf super cup ambapo bingwa wa klabu bingwa anacheza na bingwa wa kombe la shirikisho, ikapigwa kati ya Al Ahly vs Zamalek kisha Zamalek akabeba kombe la CAF super cup.View attachment 2605330
Umekomalia na hicho ki screenshot chako inaenda wiki sasa.

Unatumia nguvu kubwa sana kufifisha mafanikio ya Simba kwa references za kuunga unga.
 
Concern yangu ni wewe kuonyesha kuwa bila kuja mjini huna habari muhimu
iyo concern yako imehama baada ya kupewa taarifa kwamba mechi ya simba na al masry pia ulikatika

una habari gani muhimu hujui kama si mara ya kwanza umeme kukatika
 
Back
Top Bottom