FT: Yanga S.C 2-0 As Real Bamako | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2023

Monastir 1- 0 TP Mazembe
Dk 44
Tp Mazembe ndio kibonde wa grupu, Uto wasipochukua alama 6 kwa Mazembe ntawaona wazembe kuliko Mazembe wenyewe

Halafu naskia mmiliki wa timu bado ana amini kikosi kipo vizuri ila shida ipo kwa mwalimu

Nilisikitika sana kwakweli
 
You are right.

Mayele ana ka ubinafsi fulani hiviii sometimes.

Sehemu ambayo ni ngumu ku score huwa ana force.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mazembe ile siyo hii mkuu. Hii ya sasa hata Mbao fc inajipigia tu . Huo ndiyo ukweli japo watz wengi huwa hatupendi kuambiwa ukweli
Hata Simba ile iliyopigwa na Mazembe sio hii ya sasa, hii ya sasa inayopata ushindi wa mungu nisaidie inazibuliwa magoli mengi zaidi ya yale ya zamani na hawa hawa Mazembe mabovu[emoji23][emoji23]
Hebu ona mtu kama baleke ambae hao Mazembe wabovu hawamtaki simba ndio wameona anawafaa
 
Tp Mazembe ndio kibonde wa grupu, Uto wasipochukua alama 6 kwa Mazembe ntawaona wazembe kuliko Mazembe wenyewe

Halafu naskia mmiliki wa timu bado ana amini kikosi kipo vizuri ila shida ipo kwa mwalimu

Nilisikitika sana kwakweli
Tupe vigezo inayokufanya uione TP Mazembe ni vibonde
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…