FT: Yanga S.C 2-0 As Real Bamako | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2023

Tp Mazembe ndio kibonde wa grupu, Uto wasipochukua alama 6 kwa Mazembe ntawaona wazembe kuliko Mazembe wenyewe

Halafu naskia mmiliki wa timu bado ana amini kikosi kipo vizuri ila shida ipo kwa mwalimu

Nilisikitika sana kwakweli
Unamasikitiko mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…