Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana Simba mmepiga boliKundi B la Simba,
-JKU hadi sasa inaongoza ligi kuu ya Zanzibar na imewahi kushinda makombe ya ligi kuu
-APR tangu 2020 imechukua makombe manne mfululizo ligi kuu ya Rwanda
-Singida FG ni timu ya nne kwa ubora kwenye ligi kuu ya Tanzania Bara
Naunga mkono hojaMkuu kwani ni sheria gani ya JF imevunjwa?
No restriction.
Ili usione wivu na wewe jitahidi uwe unaanzisha.
Acha wivu ukipata mda na wewe anzisha yakoMods hizi thread za mechi muwe mnaanzisha ninyi tu, saa 8 hii usiku mtu anakimbilia kuanzisha thread ya mechi itakayochezwa saa 2 usiku.
Mtoto WA darasa la Saba anapigana na WA chekechea.Kila la kheri Yanga sc
unamaanisha hata watani zetu tulivo wapiga 5 walikuwa ni chekechea 😂😁😁😁🤣🤣🤣Mtoto WA darasa la Saba anapigana na WA chekechea.
Sie form 4. Maana hata sie tulishawanywesha 6. Hizi 4 ndio usiseme. Si unajua la Saba wanavyojiona Wakubwa ndio maana Wana kelele nyingi. Sie kwenye kelele tulishapita😂😂unamaanisha hata watani zetu tulivo wapiga 5 walikuwa ni chekechea 😂😁😁😁🤣🤣🤣
Sie form 4. Maana hata sie tulishawanywesha 6. Hizi 4 ndio usiseme. Si unajua la Saba wanavyojiona Wakubwa ndio maana Wana kelele nyingi. Sie kwenye kelele tulishapita😂😂unamaanisha hata watani zetu tulivo wapiga 5 walikuwa ni chekechea 😂😁😁😁🤣🤣🤣
Tuwakumbushe pia huyu Singida FG alimpiga APR goli 3.Kundi B la Simba,
-JKU hadi sasa inaongoza ligi kuu ya Zanzibar na imewahi kushinda makombe ya ligi kuu
-APR tangu 2020 imechukua makombe manne mfululizo ligi kuu ya Rwanda
-Singida FG ni timu ya nne kwa ubora kwenye ligi kuu ya Tanzania Bara
Hizo timu zote zikicheza na Yanga zinaitwa "VIBONDE"Tuwakumbushe pia huyu Singida FG alimpiga APR goli 3.
akampiga JKU goli 4.
Sisi tumemcharaza.
Simba ushindi ni Timu ya tofauti sana.
Usijali mkuu tutawapa fungu mapema kama mlivyopewa nyie.Wapeni fungu mapema wasije kuwasumbua kama wa juzi
😀😀😀😀Mtoto WA darasa la Saba anapigana na WA chekechea.
Huenda na wewe ulipewa fungu la 5 😂 ndo maana ulikula 5Wapeni fungu mapema wasije kuwasumbua kama wa juzi