Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Of course kwetu nafasi hazijawahi kujaa ila inategemea anataka kazi ganiMfano Lomalisa akija kwenu namba 3 wenu atachezea benchi mpaka mwamba aumie.
😟 pumzika aisee usiku sasa.Of course kwetu nafasi hazijawahi kujaa ila inategemea anataka kazi gani
Lomalisa akija kwetu atapokelewa na watu kutoka idara ya Chiefs Cook
Huko naskia kuna uhitaji mkubwa sana wa watu lakini swali je anajua kupika??
Acha Aiseee!! 😀 😀 😀😟 pumzika aisee usiku sasa.
Na hii sio akili yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km mwakan zitatoka team 2 bas sawa, ila km ni 4 simba anaenda CLWataenda shirikisho msimu ujao
Wee umevurugwaa au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa Simba nafasi ya kwanza na pili hawezi pata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha wee, Azam hii?Kwa ubora wa yanga na Azam Simba hawezi penya,ni kama useme geita watapata ubingwa au kuwa wa pili kisa Kuna game 18 zimebaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watolewe tu, impact yao kwenye timu ni ndogo sana.
Hashiki nafasi ya pili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km mwakan zitatoka team 2 bas sawa, ila km ni 4 simba anaenda CL
Ngoja wakuweke ndo utajua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha wee, Azam hii?
Vijana wa Rage kuna wakati mnapenda sana kujidhalilisha na pia kujitoa ufahamu.Refa kaona aibu kuongeza dk nyingi baada ya dk 90!! Yule wa juzi aliamua lolote liwalo na liwe!! Aliongeza dk 7 pamoja na kutokuwepo kwa tukio lolote la kusimamisha mchezo!
Timu yenye mashabiki wa aina hii, inastahili kabisa kuitwa Mbumbumbu Fc.Hii KVZ ni ya nchi gani na inashiriki ligi gani!!
Hadi inatoka sare na yanga itakuwa ni miongoni mwa club 10 bora afrika?
Hayaa kaa kwa kutulia, na nitakurudia.Hashiki nafasi ya pili
Kwan Azam kunifunga imekua ajabu? Mbna ni kawaida tyuu.Ngoja wakuweke ndo utajua
Mna uwezo wa kuwashusha wababe wenu Azam kutoka nafasi ya pili? Tuanzie hapa kwanza.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km mwakan zitatoka team 2 bas sawa, ila km ni 4 simba anaenda CL
Umeenda mbali kuitaja medeama kwanini usiitaje simba ?Acha waendelee kupangiwa Akina ' Madeama na Zalani viwango vyao vitakuwa kama hao hao. Huko juu wasahau.