Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Ushamtamani akufokoe.Williams ni kipaaaaa bhanaa, mweeeeeh
Ushamtamani akufokoe.Williams ni kipaaaaa bhanaa, mweeeeeh
Utopolo wamemuweka kwapani...Shalulile huyu Leo mbona km simuelewiii hivii, sioni kile kitu huwa anafanya always??
Ushamtamani akufokoe.Williams ni kipaaaaa bhanaa, mweeeeeh
Hawana Mpango wa ku press Kwa Nguvu Kwa sababu wanajua Mechi itaisha kwao lakini pia wanajua Jamaa watafunguka tuuSundowns wanacheza mchezo wa woga bila sababu. Hawa Yanga weupe sana kama jamaa wangewapelekea moto unaotakiwa. Sijui kwanini wanapoozesha mpira nyuma bila sababu za maana.
Hahhahahah tulia wewe [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]Hawa masandawanaa wana pass za kiwakiii, watu tunataka tulee pasakaa kwa uzuri kabisaa.
Nawee pia unataka akusukume nyamaa? Mbona unawashwaaa sana?Ushamtamani akufokoe.
Mbona yupooo subs hapo.Nje ya mada.....
Hivi Skudu aliendaga wapi? [emoji3166][emoji3166][emoji3166]