FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

Hivi ni afazali au afadhali? uzi wangu umeunganishwa maana hata sijui nilikua nawaza nn mpaka nika anzisha uzi yanga 3 mamelod0!!! Japo mimi ni Simba damu lkn nilikua na imani tangu mwanzo yanga 3 mamelod 0.
 
Basi mwambie shoga yako achane na mambo ya madaraja...😂😂😂
Madaraja unayo wewe,mara kigamboni,sijui mfugale🤣karibu daraja la busisi-kigongo fery ulizindue ,tukupe na ubaloz wa satoh na sangara wa miaka mi3
Uwe lishangaz la mwanzah iwee,abangandhh
 
Madaraja unayo wewe,mara kigamboni,sijui mfugale🤣karibu daraja la busisi-kigongo fery ulizindue ,tukupe na ubaloz wa satoh na sangara wa miaka mi3
Uwe lishangaz la mwanzah iwee,abangandhh
Ukiniona huko Mwanza zaidi ya miezi miwili toa taarifa kituo Cha polisi kilichokaribu nawe maana lazima nitakuwa nimetekwa nipo kwenye matatizo makubwa...au wasiliana na mdogo wangu Lamomy atajua Cha kufanya
 
Back
Top Bottom