Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi Simba alimiliki akafungwa, hivi umiliki unatumika kuvusha timu?, kama wanataka boli zuri wataona kwenye mechi za kirafiki saizi ni point tu zinatakiwaUsiwe punguani wewe.
Kwani kumiliki mpira ndio magoli?
Mbona kombe la dunia Portugal ilimiliki mpira zaidi ya asilimia 70 na Morocco ndio akashinda na kumtoa Portugal??
Mbona robo fainali world cup Spain aliongoza kwa posession na akatolewa na Morocco?
UNAJUA KITU KINAITWA CONVENTIONAL FOOTBALL??
YANGA KAZIDIWA POSESSION ILA KAONGOZA KWA SHOTS ON TARGET KAMA ANGEZITUMIA ANGEKUA MSHINDI.
HUJUI MPIRA
🤣🤣Sea food za wapi?kasa au usikute uko daraja la tanzanite unapiga pic za paskaMwambie Kipepe Mimi nakula sea food,silagi Hizo Zina matope Hizo zinafaa yeye msukuma😂😂😂😂😂
Sasa unanivunjia heshima we muhaya,yaani Mimi ni wa kupiga picha darajani wakati nimezaliwa ocean road miongo mitatu iliyopita?Kwanza muhaya na Sato wapi na wapi?Sato za msukuma bwana nyie mnakula wadudu panzi😅🤣🤣Sea food za wapi?kasa au usikute uko daraja la tanzanite unapiga pic za paska
Njoo kwa wahayah ule sato,msukumah na sato wapi na wapi?
Bado.asa kama kinawezekana si utaje ata mechi moja tu uliyeshinda ugenin kwenye Champions leauge mbona unakua na stori nyingi wakati jibu ni simple tu
🤣🤣🤣🤣🤣 oyoooooooo!!! Da kipepe umejibiwa offer yako huku Theironbutterfly eti sato zina matopeMwambie Kipepe Mimi nakula sea food,silagi Hizo Zina matope Hizo zinafaa yeye msukuma😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 yani da Joha anapiga picha daraja la tanzanite.??? Nimelia sana 😭😭😭🤣🤣Sea food za wapi?kasa au usikute uko daraja la tanzanite unapiga pic za paska
Njoo kwa wahayah ule sato,msukumah na sato wapi na wapi?
🤣🤣🤣🤣 hapo chacha, hajui km we born town kitambo??Sasa unanivunjia heshima we muhaya,yaani Mimi ni wa kupiga picha darajani wakati nimezaliwa ocean road miongo mitatu iliyopita?Kwanza muhaya na Sato wapi na wapi?Sato za msukuma bwana nyie mnakula wadudu panzi😅
🤣🤣🤣🤣 dada taratibu nimeshiba pilau nitapaliwaAchana na Kipepe,atakuwa kapoteza rungu lake Sasa ana mawazo😁😁😁😁
Mnavyopenda harusi sasa, kwenu mna msiba na mazishi ni week ijayo, ila vihedemswede kulilia harus za watu!.Hahaahhahah jamani...ngoja twende harusini sare tunazo....
Hili neno “kihedemswede” umenikumbusha skonga nilikuwa napenda kusutia watu wenye shobo 😂😂😂😂Mnavyopenda harusi sasa, kwenu mna msiba na mazishi ni week ijayo, ila vihedemswede kulilia harus za watu!.
Msiba upi tena nyie vinchenchede...Mnavyopenda harusi sasa, kwenu mna msiba na mazishi ni week ijayo, ila vihedemswede kulilia harus za watu!.
Ahahahah..hii ni misamiati yetu sis ma uncle na nyie mashangazi. Hawa watoto wa leo hawaijui haiko kwenye genre zaoHili neno “kihedemswede” umenikumbusha skonga nilikuwa napenda kusutia watu wenye shobo 😂😂😂😂
Ahahahahah.. ina maana mmeshamkacha marehem asifirishwe peke yake waarabu wakam kafini alone alone??Msiba upi tena nyie vinchenchede...
Sisi tukienda kule tunakua mizuka yani spirits tunaenda kuwatawanyisha shaaaaaa....subiri muda hauko mbali..Ahahahahah.. ina maana mmeshamkacha marehem asifirishwe peke yake waarabu wakam kafini alone alone??
Nyie mpaka dakika hii ni buriani, wendazake, punguzeni midomo walau mzikwe kwa heshimaSisi tukienda kule tunakua mizuka yani spirits tunaenda kuwatawanyisha shaaaaaa....subiri muda hauko mbali..
Shida ni kwamba pale marehemu mtarajiwa anavyomshauri mgonjwa...Nyie mpaka dakika hii ni buriani, wendazake, punguzeni midomo walau mzikwe kwa heshima
Mahututi ICUShida ni kwamba pale marehemu mtarajiwa anavyomshauri mgonjwa...
Huwa wanapona mzee baba..shida ukishakua kwny state ya umarehemu yani huwezi kutoboa huko uendako kama nyie vyura..mna hali ngumu sanaaaaaMahututi ICU