Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Harusi ya mswahili na mwarabu?Hahaahhahah jamani...ngoja twende harusini sare tunazo....
Ya masandawana na vyuraHarusi ya mswahili na mwarabu?
Vipi kwa upande wako mtani, mtavuka au umeshajikatia tamaa?Ya masandawana na vyura
Mimi sitaki kujitia presha mtani tukifikia hapa sawa najua point zinaongezeka itakua robo fainali ya 5..mwisho wa siku tutapewa tuzo ya timu iliyoingia robo fainali back to back mara nyingi kuliko zote Africa.. 😆 😆 😆Vipi kwa upande wako mtani, mtavuka au umeshajikatia tamaa?
Nimependa hapo mwisho jinsi ulivyomalizia 😅😅😅. Kumbe mna malengo yenu? Hongereni soon yatatimia 😅😅mwisho wa siku tutapewa tuzo ya timu iliyoingia robo fainali back to back mara nyingi kuliko zote Africa.. 😆 😆 😆
asa kama kinawezekana si utaje ata mechi moja tu uliyeshinda ugenin kwenye Champions leauge mbona unakua na stori nyingi wakati jibu ni simple tuKhaa!
Nani kachanganya mada??
Kwani yote si mashindano ya kimataifa??
Hayo ni mashindano yote ya CAF utofauti ni rank tu.
Kolouzdad bhana mwapenda kuruka vihunzi!!
Tulichokifanya shirikisho hata klabu bingwa kinawezekana ni mipango tu.
Hata mechi ya jana kulikuwa na uwezekano wa penalti lakini VAR hata hawakumuita refaVAR ingetumika juzi Al Ahly wangepata penalty
🤣🤣🤣🤣 ila nyie mnanichekeshaga sana mtu na shosti ake… kasema uende akakununulie satoNa nilimaanisha huyohuyo Kipepe,ila we ndio ulianzisha eti Kipe😁😁....Kipepe wa chuma msumbufu sana!
Nipo humu mtani wangu ❤️ 😍 muhimu Simba na Yanga Sc wote wana nafasi game zao za piliMtani Vincenzo Jr sijakuona masiku mengi humu ..by the way hongera kwa sare mtani...sherehe ipo kwa madiba...twenzetu kwa madiba..
Kabisa kabisa...tushindwe wenyewe tuu..Nipo humu mtani wangu ❤️ 😍 muhimu Simba na Yanga Sc wote wana nafasi game zao za pili
Kuna mwenye swali kwa mkude?Watu wanakariri tu naona wamemsahau mkude mwenyewe mwenye kipaji chake
Acha tuone leo
Yeah mtani wangu tujipange game zijazo skuizi mpira wetu umekuwa sana tunacheza mpira mzuri sana timu za kibongo skuizi zinaupiga mwingi kimataifaKabisa kabisa...tushindwe wenyewe tuu..
Umechanganyikiwaasa kama kinawezekana si utaje ata mechi moja tu uliyeshinda ugenin kwenye Champions leauge mbona unakua na stori nyingi wakati jibu ni simple tu
Kwa sbb haipo.. 🤣 🤣 🤣Umechanganyikiwa