FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

Khaa!
Nani kachanganya mada??
Kwani yote si mashindano ya kimataifa??
Hayo ni mashindano yote ya CAF utofauti ni rank tu.
Kolouzdad bhana mwapenda kuruka vihunzi!!
Tulichokifanya shirikisho hata klabu bingwa kinawezekana ni mipango tu.
asa kama kinawezekana si utaje ata mechi moja tu uliyeshinda ugenin kwenye Champions leauge mbona unakua na stori nyingi wakati jibu ni simple tu
 
Back
Top Bottom