Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Unataka furaha? Njoo uwanjani siku hiyoWanashinda ila Furaha hakuna..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka furaha? Njoo uwanjani siku hiyoWanashinda ila Furaha hakuna..?
Jamaa ameshuka sana kiwango. hakustahili hata kurudi kipindi cha pili nashangaa amemaliza dk. 90.Akiwekwa ya 4 atarudi bench mech 6
Hamisa fc leo mnasema sio maroboti..kwanza ni mashabik wenu ndio wanalalama niko nao hapa wanatukana kila aina ya matusi..[emoji23][emoji23]Makolo na yasio jua mpira ndio utakuta yanalalama , wachezaji sio Maroboti na kila timu unatafuta ushindi.
Sijaona Mahali KMC wamepaki basi....Kocha ajue kua watu washamstukia mbinu yake, hivi vitimu vitajua ili Yanga isikuonee we paki bus kwasababu yanga hawana Straiker wa maana
Mtasubir sana kumaaaanishaa!Kikubwa ushindi. Magoli tutayapatia kwa makolo
Wenyewe uwakute vijiweni sasa. 😀😀😀Hii timu imeshajifia ushindi inapata kwa mbinde sana goli moja moja
Halafu mashabiki wao ni kama wameanza kukata tamaa na Yanga .....wameshindwa kuujaza uwanja wa Azam....Hamisa fc leo mnasema sio maroboti..kwanza ni mashabik wenu ndio wanalalama niko nao hapa wanatukana kila aina ya matusi..[emoji23][emoji23]
Mjoli bana...Mkuu Dube, Mzize anayetakiwa na Widadi, Otos Baleke, Musonda kweli unasema hakuna striker wa maana??
walipaki pale nje bus aina ya golden dragon no. iinaanz na SMSijaona Mahali KMC wamepaki basi....
Halafu mashabiki wao ni kama wameanza kukata tamaa na Yanga .....wameshindwa kuujaza uwanja wa Azam....
Tumeanza kuugua ugonjwa wa Simba ScHalafu mashabiki wao ni kama wameanza kukata tamaa na Yanga .....wameshindwa kuujaza uwanja wa Azam....
Na wewe pia ondokaaHayo ni mawazo mgando.
Yanga bado wanajitafuta wako hoi pale juu watapasikiaga tu safari hiiMsimamo wa ligi unapotolewa na Yanga hayupo pale juu inakuwa haipendezi
bingwa wa kunywa supu ya vibuduYanga bingwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga atarekebisha makosa ya mechi iliyopita ,walikosa magoli mengi,nawaonea huruma kmc ,Leo anakula goli 6
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumeanza kuugua ugonjwa wa Simba Sc
Hatuendi uwanjani[emoji1787]
Pira papatu papatu
Japo hii mechi ilitakiwa ichezwe saa 9 imeakuaje saa 3 usiku?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeeh kweli utopoloo mmevurugwaaa.Makolo na yasio jua mpira ndio utakuta yanalalama , wachezaji sio Maroboti na kila timu unatafuta ushindi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wachezaji wa kufukuza hapa...Chama,,Ki,,, Mzinze.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]