FT: Yanga SC 1-0 Namungo FC | NBC Premier League | Azam Complex | 20.09.2023

FT: Yanga SC 1-0 Namungo FC | NBC Premier League | Azam Complex | 20.09.2023

Kikosi cha Yanga
F6ej3V-XUAAOmqx.jpg


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Kila la kheri Timu ya Wananchi katika kuendeleza ushindi tupate kurudi kwenye ile nafasi yetu.

#DaimaMbeleNyumaMwiko.
 
Mabingwa watetezi wa ligi kuu nchini Tanzania Young Africans Leo wanajitupa dimbani kumenyana na Namungo Fc katika mchezo wa ligi ya NBC..

Ikumbukwe katika michezo miwili iliyopita ya ligi Yanga wametoa vipigo vikali vya goli 5-0 kwa timu za Kmc na Jkt Tanzania, Je 5G itaendelea tena Leo?

Mchezo huu utapigwa mishale ya saa 1.00 usiku na utarushwa na Azam Sports1 HD View attachment 2755991

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
View attachment 2756132
Kila la heri kwa wauaji wa kusini
 
Naam mambo ni bambam
Kila la kheri Wananchiiiiiiiiiiiiiiiii
[emoji172][emoji169]
 
Yanga wamezoea bwerere...
Leo wataona Draw ya Kwanza
 
Namungo hawajatulia wanaanza kwa kushambuliwa gafla hapa
 
Back
Top Bottom