princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
MUDHATHIR YAHYA apewe wale ma HURULAYN 72 ...Hapahapa kwenye dun'ya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jikite kwenye mada, hamna tusi wala kejeli mpya unayoweza kuitoa. Kama wewe great thinker be logical 😀😀😀Ulikuwa unasubiri niandike mmeo nawe mke wangu uandike, hii tabia umeanza lini?
Huo mpira wenu mtazifunga timu underdog ila hakuna timu ya maana mtaifunga maana zile nafasi walizokosa Namungo Kibu Denga hakuachi.Nyie muongoze ligi gani bhn na timu lenu bovu plus na kipa lenu Ayubu lisilojua kudaka kila mechi kuruhusu magoli..
Huku yanga over 1.5 kule madrid🤣🤣🤣🤣🤣Ulirisk mkuu
Acha kuudanganya uma jombaaUsichojua ni kwamba hata kwenye kimataifa yanga imeshinda mechi nyingi ugenini kuliko timu yeyote africa, sasa subiri tucheze mechi tati ugenini tushinde halafu uje hapa tena
Mpira wa bahati au ushindi wa bahati unajulikana, ni magoli yanayotokea pasipo mipango yoyote ilimradi mpira umepigwa mbele. Lakini ukiangalia mechi zote alizocheza Yanga hadi sasa unaona timu inacheza kwa mipango na hata magoli wanafunga wanafunga kwa mipango na sio bahati nasibu. Kitu ambacho inaweza kuwa mapungufu ni kukosa striker wa maana kuzitumia nafasi zinazotengenezwa.Kaka, ukweli mchungu, Yanga kuna bahat flan ivi, ni muda sasa tunajikuta tunakutana na timu eidha hazijajiandaa au dhaifu.
Yanga bado haiko vizuri kama tunavyo jiaminisha au kuaminishwa na wachambuzi.
Tunasafari ngumu sana pale kwenye Makundi ya Club bingwa, mark my words.
Haiseeh [emoji848]MUDHATHIR YAHYA apewe wale ma HURULAYN 72 ...Hapahapa kwenye dun'ya
Umeongea kama vile mechi ya leo ndio mechi ya kwanza kucheza, Kibu alifunga magoli mangapi dhidi ya Yanga kwenye ngao ya jamii? Azam ni underdog?Huo mpira wenu mtazifunga timu underdog ila hakuna timu ya maana mtaifunga maana zile nafasi walizokosa Namungo Kibu Denga hakuachi.
Sehemu nzuri ya kupima uwezo wa Yanga hii tunayoijadili sasa ni Kwenye Makundi ya club bingwa, ambapo atakutana na timu zinazofunguka na kuzuia na sio kushikilia bomba.Mpira wa bahati au ushindi wa bahati unajulikana, ni magoli yanayotokea pasipo mipango yoyote ilimradi mpira umepigwa mbele. Lakini ukiangalia mechi zote alizocheza Yanga hadi sasa unaona timu inacheza kwa mipango na hata magoli wanafunga wanafunga kwa mipango na sio bahati nasibu. Kitu ambacho inaweza kuwa mapungufu ni kukosa striker wa maana kuzitumia nafasi zinazotengenezwa.
Sasa hivi timu kinachofanya ni kushikilia bomba mwanzo mwisho kwa kupaki basi, jambo ambalo timu inapaswa kuhimili kwa dakika zote tisini. Tuliona Azam alifanya hivyo ila dakika 80 kashindwa kuhimili kufikisha dakika 90
JKT nayo iliingia na mfumo wa kupaki bus ila alishindwa kuhimili mpaka mwisho
Simba aliweza kushikilia bomba hadi dakika 90
Al Merrikh nao walifanya hivyo hivyo ila wakashindwa kufikisha dakika 90
Namungo leo kajitahidi kushikilia bomba ila kashindwa kuhimili.
Huu mfumo ukisharuhusu tu goli kabla ya dakika 70 ndipo advantage ya Yanga kukufunga goli zaidi ya moja.
Kama unafuatilia mpira wa Yanga kwa msimu huu utagundua wachezaji wa Yanga hawachoki, hawapunguzi fighting spirit mpaka wapate jambo lao na hapa ndipo linapokuja uwezo wa timu kuweza kuhimili kupelekewa moto kila muda kila muda
falsafa hii ndio hufanya yanga washinde zaiikipindi cha piliMpira wa bahati au ushindi wa bahati unajulikana, ni magoli yanayotokea pasipo mipango yoyote ilimradi mpira umepigwa mbele. Lakini ukiangalia mechi zote alizocheza Yanga hadi sasa unaona timu inacheza kwa mipango na hata magoli wanafunga wanafunga kwa mipango na sio bahati nasibu. Kitu ambacho inaweza kuwa mapungufu ni kukosa striker wa maana kuzitumia nafasi zinazotengenezwa.
Sasa hivi timu kinachofanya ni kushikilia bomba mwanzo mwisho kwa kupaki basi, jambo ambalo timu inapaswa kuhimili kwa dakika zote tisini. Tuliona Azam alifanya hivyo ila dakika 80 kashindwa kuhimili kufikisha dakika 90
JKT nayo iliingia na mfumo wa kupaki bus ila alishindwa kuhimili mpaka mwisho
Simba aliweza kushikilia bomba hadi dakika 90
Al Merrikh nao walifanya hivyo hivyo ila wakashindwa kufikisha dakika 90
Namungo leo kajitahidi kushikilia bomba ila kashindwa kuhimili.
Huu mfumo ukisharuhusu tu goli kabla ya dakika 70 ndipo advantage ya Yanga kukufunga goli zaidi ya moja.
Kama unafuatilia mpira wa Yanga kwa msimu huu utagundua wachezaji wa Yanga hawachoki, hawapunguzi fighting spirit mpaka wapate jambo lao na hapa ndipo linapokuja uwezo wa timu kuweza kuhimili kupelekewa moto kila muda kila muda
Azam ni underdog ndio. Kibu hakufunga lakini mlifungwa.Umeongea kama vile mechi ya leo ndio mechi ya kwanza kucheza, Kibu alifunga magoli mangapi dhidi ya Yanga kwenye ngao ya jamii? Azam ni underdog?
Unahangaika Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii sasa ndo Yanga halisi..ngoja tuendelee kujionea...
Wamebana wakaachiaVinamungo eti vime-park semi!
Mechi iliisha kwa suluhuAzam ni underdog ndio. Kibu hakufunga lakini mlifungwa.
Timu zipi hizo labda uanze kuzitaja kabisa maana isijefika makundi ukaanza kuzikosoa timu zitakazocheza na Yanga kuwa ni dhaifu. Timu zipi ambazo unaona zikikutana na Yanga zitampa tabu.Sehemu nzuri ya kupima uwezo wa Yanga hii tunayoijadili sasa ni Kwenye Makundi ya club bingwa, ambapo atakutana na timu zinazofunguka na kuzuia na sio kushikilia bomba.
Kauli yako inamaanisha one side game, kwamba timu nyingine kazi yake ni kuzuia tu, which is not true.