FT: Yanga SC 1-0 Namungo FC | NBC Premier League | Azam Complex | 20.09.2023

FT: Yanga SC 1-0 Namungo FC | NBC Premier League | Azam Complex | 20.09.2023

Jikite kwenye mada, hamna tusi wala kejeli mpya unayoweza kuitoa. Kama wewe great thinker be logical 😀😀😀
Afadhari umegundua haukuwa sahihi na kauli yako. Siku nyingine ujibu hoja kwa hoja sio unakuja na matusi au kashfa kisa tu umetofautiana hoja.

Aliyeanza kutoka kwenye hoja ni nani kati yangu na wewe?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Timu zipi hizo labda uanze kuzitaja kabisa maana isijefika makundi ukaanza kuzikosoa timu zitakazocheza na Yanga kuwa ni dhaifu. Timu zipi ambazo unaona zikikutana na Yanga zitampa tabu.
Msimu uliopita maneno yalikuwa hivyo hivyo kila mechi anayoshinda Yanga kamfunga kibonde mpaka anaingia fainali. USMA akapambwa ila alipofungwa kwake mkamponda ni dhaifu nae ila ndiye bingwa wa CAF super league.
Nakukumbusha kaka, hii ni club bingwa, mwaka jana alishiriki akatoka, mapeema! sasa anaenda makundi!

Naomba tusibiri sio mbali, siwezi kutaja timu kwakuwa hawajapanga makundi, na mimi siwez ku bet.
 
Na watasema young Africans wameshinda kibahati, ile ya kusema timu dhaifu leo haipo
 
Leta ushahidi kama mechi iliisha suluhu.
Ushahidi huo, na ushahidi wa pili kama mtaani kwenu kuna mtu yeyote alipewa ela na kampuni za kubet kwa kuipa Simba ushindi basi njoo na mkeka wake ukioneaha bet won.
IMG_20230827_234415.jpg
 
Ulikuwa wapi kutoa comment kama hii kabla ya mechi!?
Mashabiki maandazi Hao
Yaani mtu na Akili zake kabisa anakaa anajiaminisha kua kila siku mtakua mnashinda tano ,tano ,ikitokea mmefunga 1 au 2 ,kitu linaanza kubweka
Sijui huo mpira wenzetu Hua wanaangalia wapi ,maana Leo Namungo alichofanikiwa Ni kujazana golini kwake ila bado watu wanalalama kama wamefungwa
 
Bingwa alipatikanaje kama hakuna timu iliyofungwa?
Pole kumbe ndio unataka ufundishwe mpira leo hii? Njoo na ela ya ada nikufundishe sheria mbalimbali za mpira eikiwemo na hili ikitokea hakuna mbabe ndani ya dakika 90 nini kinachofuata katika mechi ambazo lazima apatikane mshindi. Ila mechi ya ngao ya jamii iliisha kwa sare na ndio maana huwezi kukuta kuna mtu yeyote aliyebet ushindi kwa Simba akawin bet hiyo.
 
Mkuu tatizo sio magoli ila ni performance ya timu, yanga mbovu na ya kawaida mnoo ila inakuzwa tu na media na sijui ni kwa maslahi yapi
Labda Yanga mpaka amfunge nani utakubali?
 
Pole kumbe ndio unataka ufundishwe mpira leo hii? Njoo na ela ya ada nikufundishe sheria mbalimbali za mpira eikiwemo na hili ikitokea hakuna mbabe ndani ya dakika 90 nini kinachofuata katika mechi ambazo lazima apatikane mshindi. Ila mechi ya ngao ya jamii iliisha kwa sare na ndio maana huwezi kukuta kuna mtu yeyote aliyebet ushindi kwa Simba akawin bet hiyo.
Acha kukariri na hiyo betting yako. Kwa hiyo hujawahi ona option ya Man city to win the league? Simba to win the FA cup? Kwa hiyo unafikiri alieweka simba to win the FA cup hakupata hiyo betting ? Nani kakuambia kila betting inahusu dk 90?
 
Usichojua ni kwamba hata kwenye kimataifa yanga imeshinda mechi nyingi ugenini kuliko timu yeyote africa, sasa subiri tucheze mechi tati ugenini tushinde halafu uje hapa tena
Msimu uliopita walikua na wimbo wa timu dhaifu zipo shirikisho,mwaka huu wamebadili kibwagizo ,kumbe hata cl kuna timu dhaifu pia 😀😀😀
 
Ati Kuna watu wanasema ni offside sijui waliangalia kupitia nini.. mchawi ni mchawi tu
Hao Ni wapenzi wa rede ambao mabwana zao wanashabikia mpira basi na wao wamejikuta wanafuata mkumbo Bila kujua chochote kuhusu mchezo wenyewe
 
Nakukumbusha kaka, hii ni club bingwa, mwaka jana alishiriki akatoka, mapeema! sasa anaenda makundi!

Naomba tusibiri sio mbali, siwezi kutaja timu kwakuwa hawajapanga makundi, na mimi siwez ku bet.
Sasa ww Si ungejisema kua Ni kolo
Kwani ukisema kua ww Ni kolo utapungukiwa nn, mpaka ujifanye kua ww Ni mwananchi
Jiamini Kwanza halafu urudi na hoja zenye mashiko
Achana na ngonjera za timu dhaifu,Hakuna mashindano yasiyokua na timu dhaifu
Mnajitoaga Akili tu
Huko UEFA cl kuna timu dhaifu ,sembuse CAF cl
 
Anyway!
Leo Simba anaongoza ligi wengine mtakuwa nyuma yetu
 
Afadhari umegundua haukuwa sahihi na kauli yako. Siku nyingine ujibu hoja kwa hoja sio unakuja na matusi au kashfa kisa tu umetofautiana hoja.

Aliyeanza kutoka kwenye hoja ni nani kati yangu na wewe?
Kauli ya mbumbumbu aliitoa aliyekuwa mwenyekiti wenu Ndugu Rage😁
 
Mashabiki maandazi Hao
Yaani mtu na Akili zake kabisa anakaa anajiaminisha kua kila siku mtakua mnashinda tano ,tano ,ikitokea mmefunga 1 au 2 ,kitu linaanza kubweka
Sijui huo mpira wenzetu Hua wanaangalia wapi ,maana Leo Namungo alichofanikiwa Ni kujazana golini kwake ila bado watu wanalalama kama wamefungwa
Wakiambiwa ukweli wanakimbilia matusi 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom