Ukimlinganisha na Mane ama mahrez?
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]oyaaaaaaaMshinde bwana leo nipo hapa nje taifa nasubiria nikamatie mrembo wa simba nikamgegede
Unalikumbuka la Okra?.alikua umbali zaidi ya hapo na alichonga mpira hasw haswa.Ila lile hapana, limepigwa kiufundi
Bila ubishi
Wanaofungwa wanakuwa wamekasirika hawatoi mbususu. Mshinde basi nyie simba niondoke na mrembo hapa taifa jamaniUtawapata Yanga walionyong'onyea leo hahahah
HahahahLeo moses hafiri?
Hahaa! anajaribu kuangalia Kama pesa iliyotumika na huduma vinafanana!!?😂😂Azizi Ki alivyoshangilia kamyooshea kidole cha poa Eng Hersi jukwaani na yeye kajibu ,Hersi anafurahia sana akishinda Azizi Kukilo mchezaji yeyote pale Yanga nimeona hata ile mechi ya ligi kuu.
Unayemuogopa leo hajacheza, kwa mujibu wa Nabi naskia ana injuryMimi mpaka sasa bado ninamuogopa mnoo Mayele, maana wale wazee pale nyuma wakisinzia hata sekunde moja tu, Mayele ataleta kilio msimbazi. Yule mwamba huwa anawaza kucheka na nyavu tu.
Tufanye Hilo sio goliYani goli la faulo ndo mnapiga nalo debe. Kubalini mmezidiwaaa.
Nipe over 2.5 za usiku wa leoOver 2.5 uhakika weka mbupu zote mbili