FT: Yanga SC 1-2 Fc Augsburg | Mpumalanga cup | Mbombela Stadium | Saturday, 20 July 2024

Mounie anawapindua wachezaji wa yanga kama chapati....huku na hukuuu
 
Tukubaliane, Beki ya Yanga imekatika vibaya mno
 
Mungu saidia Augsburg washinde. Wawaachie Uto mkosi.

Waanze kupigwa tu. Pigwa, sisi tunakuja kumaliza kwenye tobo mshono.
 
Majaribio ya kufunga

Yanga 1 wakati sisi 5

Shot in target

Yanga 0 wakati sisi 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…