FT: Yanga SC 1-2 Fc Augsburg | Mpumalanga cup | Mbombela Stadium | Saturday, 20 July 2024

FT: Yanga SC 1-2 Fc Augsburg | Mpumalanga cup | Mbombela Stadium | Saturday, 20 July 2024

mkuu si unasemaga mpira unaujua? umecheza na kuchambua unajua? sasa mbona koments zako hazireflect unayosemaga? unamkumbuka pogba wa juve na pogba wa man u? unamkumbuka messi wa kabla ya pep na mess chn ya pep?
Kwa ajili ya maendeleo ya mpira wetu na kujitathmini kwa ajili ya msimu unaokuja wa 2024/25, tunaomba Simba nayo icheze mechi hata 1 na timu ya ligi kuu ya Misri e.g Al Ahaly, Zamalek na Pyramid. Mechi ioneshwe live.
 
Kwa ajili ya maendeleo ya mpira wetu na kujitathmini kwa ajili ya msimu unaokuja wa 2024/25, tunaomba Simba nayo icheze mechi hata 1 na timu ya ligi kuu ya Misri e.g Al Ahaly, Zamalek na Pyramid. Mechi ioneshwe live.
Hapa kwenye kuonyeshwa live ndio mzozo utakapoanzia.
 
🔰𝐔𝐏 𝐍𝐄𝐗𝐓🔰

🏆 #MpumalangaCup🇿🇦
⚽️ FC Augsburg🇩🇪🆚Young Africans SC🇹🇿
📆 20.07.2024
🏟 Mbombela Stadium
🕖 15H00🇿🇦 16H00🇹🇿
View attachment 3046769
Kikosi kinachoanza dhidi ya FC Augsburg #preseasontour

#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
View attachment 3047190
Mpira umeanza
Dakika ya 1
0-0

Dakika ya 3
Augsburg wamekosa goli la wazi

Dakika ya 8
Max anakosa goli la wazi off target

Dakika ya 16
0-0


Dakika 25
0-0

Dakika ya 37
Goooal Augsburg wanaongoza kwa goli moja

Dakika ya 43

Aug 1 -0 Yng

Dakika ya 45 +1

Halftime
Aug 1-0 Yng


View attachment 3047255
Kipindi cha pili kimeanza
dakika ya 46
Aug 1-0 Yng

Dakika a 59
Chama kachezewa madhambi

Dakika ya 63
Mabadiliko anatoka Aziz k anaingia dube anatoka chama anaingia beleke

Dakika ya 64
Yanga wanakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 66
Aug wanakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 67
Mzize kagongesha mwamba

Dakika 68
Beleke kaumia

Dakika ya 72
Aug 1-0 Yng

Dakika ya 80
Goooal Aug wanapata chuma cha pili

Dakika ya 87
Goooooal baleke

Dakika ya 90+5
Full time
Aug 2-1 Yng
Aziz yule Singida BS yupo Utopolo kwa sasa?
 
Kwa nini kuwe na mzozo Kiongozi?
Simba wanacheza mechi za kirafiki kisiri siri pasipo kuhabarisha umma matokeo na wamecheza na nani. Tegemea kuona live mechi moja tu ya kirafiki siku ya Simba day basi. Halafu kocha anasema wanacheza mechi za kirafiki kwa dakika 45 hadi 60, inamaana wachezaji waliosajiliwa ni vilaza sana mpaka kocha aenze kuwa kama anafundisha amateur?

Maneno ya kocha wa Simba:👇


View: https://x.com/SimbaSCTanzania/status/1814736572094554250?t=JuaXmS6J3RYe0GgdxGk4Fw&s=01
 
Kwa Mechi za Tanzania. Yanga ni kama Real Madrid, Barcelona au Manchester City. Kwa maneno yako ni uhakika, wanaweza wasipoteze mechi hata moja
Msimu huu Yanga watamaliza ligi bila kupoteza mechi hata moja.

Wekeni akiba ya hii comment yangu. Na mfungaji bora wa kwanza na pili watatoka Yanga.
Ila kwenye mechi za nje ya nchi kama CAF Champion League, CAF Federation, AFL n.k ni kama Ihefu, Pamba, Mtibwa, Majimaji, Gwambina au Mashujaa. Mpaka kuvaa medali za shirikisho kwao ni kama kombe. Tangu nimekua sijawahi kuona timu zaidi ya Yanga inayojitapa kuvaa medali. Timu inajitapa kwa kuishia nusu fainali, kucheza fainali n.k na siyo kuvaa medal. Leo hii nikuuliza Manchester United imechukua medali ngapi. Hautanipa jibu hata uki-google hautapata ila utapata imechukua kombe la ligi mara ngapi, imefika robo au kucheza fainal ya UEFA mara ngapi ila siyo medali. Kwa timu kama ihefu au mashujaa, kuvaa medali kwao ni moja ya mafanikio.
 
Kwa Mechi za Tanzania. Yanga ni kama Real Madrid, Barcelona au Manchester City. Kwa maneno yako ni uhakika, wanaweza wasipoteze mechi hata moja

Ila kwenye mechi za nje ya nchi kama CAF Champion League, CAF Federation, AFL n.k ni kama Ihefu, Pamba, Mtibwa, Majimaji, Gwambina au Mashujaa. Mpaka kuvaa medali za shirikisho kwao ni kama kombe. Tangu nimekua sijawahi kuona timu zaidi ya Yanga inayojitapa kuvaa medali. Timu inajitapa kwa kuishia nusu fainali, kucheza fainali n.k na siyo kuvaa medal. Leo hii nikuuliza Manchester United imechukua medali ngapi. Hautanipa jibu hata uki-google hautapata ila utapata imechukua kombe la ligi mara ngapi, imefika robo au kucheza fainal ya UEFA mara ngapi ila siyo medali. Kwa timu kama ihefu au mashujaa, kuvaa medali kwao ni moja ya mafanikio.
Tulivaa medali kwa kucheza fainali ya kombe la shirikisho.

Mwaka huu tulikuwa tunaenda nusu fainali ya CAF CHAMPIONSHIP kama haikuwa "dhuluma" na fitina za refalii.

Msimu unaofuata Yanga itacheza fainali ya CAF CHAMPIONSHIP Tunza maneno yangu mkuu.
 
Back
Top Bottom