🔰𝐔𝐏 𝐍𝐄𝐗𝐓🔰
🏆 #MpumalangaCup🇿🇦
⚽️ FC Augsburg🇩🇪🆚Young Africans SC🇹🇿
📆 20.07.2024
🏟 Mbombela Stadium
🕖 15H00🇿🇦 16H00🇹🇿
View attachment 3046769
Kikosi kinachoanza dhidi ya FC Augsburg #preseasontour
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
View attachment 3047190
Mpira umeanza
Dakika ya 1
0-0
Dakika ya 3
Augsburg wamekosa goli la wazi
Dakika ya 8
Max anakosa goli la wazi off target
Dakika ya 16
0-0
Dakika 25
0-0
Dakika ya 37
Goooal Augsburg wanaongoza kwa goli moja
Dakika ya 43
Aug 1 -0 Yng
Dakika ya 45 +1
Halftime
Aug 1-0 Yng
View attachment 3047255
Kipindi cha pili kimeanza
dakika ya 46
Aug 1-0 Yng
Dakika a 59
Chama kachezewa madhambi
Dakika ya 63
Mabadiliko anatoka Aziz k anaingia dube anatoka chama anaingia beleke
Dakika ya 64
Yanga wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 66
Aug wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 67
Mzize kagongesha mwamba
Dakika 68
Beleke kaumia
Dakika ya 72
Aug 1-0 Yng
Dakika ya 80
Goooal Aug wanapata chuma cha pili
Dakika ya 87
Goooooal baleke
Dakika ya 90+5
Full time
Aug 2-1 Yng