Hapana! Ni hujuma ili tufungwe zaidiDakika 9 za nyongeza hii mpya ya kufungulia Mwaka. Yote hii yanatengenezwa mazingira Yanga ishinde
Mshaanza visingizioNaona ilikuwa mbinu hii vijana wapate break mapema,
Hawajui kuwa break yao ingevutia sana.
Kama wangeenda wakiwa wameshinda hizi Milion 100
Mechi na simba inahusikaje kwenye hii gameSimba 1 Yanga 5 je Yanga tulipaka Mkongo?
Nimeuliza tu kuwa na yanga siku ile walipaka mkongo?
Diarra
= Asalaam Alaikum.Salamaleko shekhe
ππ€£π€£π€£πππNasikiaga tu kuwa APR ni vibonde wa Yanga, hivi ni kweli?