FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

[mention]Moderator [/mention] ule uzi wangu uleteni huku. Nyuzi 2 with the same subject matter
 
Dickson Job leo benchi
Huyu Funguo [emoji360] Nadhani sasa mmeanza kuelewa uchezaji wake tulivyokuwa tunawambia, ndo maana akianza kwenye kikosi au akianzia benchi wala hamshangai.
 
Uwanja hauna shabiki hata mmoja... Halafu mnajiita timu ya wanachi... Mbona mmeitupa timu yenu...?
 
Punguwani mwenyewe, mi huwa namjibu Mtu kadri ajavyo, ukinijia kibangi bangi, nami nakujia kikoein kokein huwa sinaga unafki kabisa kwa Wapumbavu kama ninyi, Jinga Jinga kuu la ulimwenguni wewe [emoji1787]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…