FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

Mpaka sasa mnajivunia kagoli kamoja? Wakati wenzenu mida kama hii jana zilikuwa zinasoma tatu....tena klabu bingwa, sio hii ya walifeli, mashindano ya hisani, ya walioshindwa(sympathy) toka CAF
 
Kweli hili kombe la waliofeli UWANJA KAMA DIMBWI LA UTO PALE JANGWANI [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]
 
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii wanachiiiiiiiiiiiiiiiiiii
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Mazembe mambwa sana haya. Kumbe ndio maana Utopolo iliwashindilia za kutosha. Yani leo mpaka kipofu anaona mwezi huko Bumaco
 
Kweli hii ni ligi ya LOOSERS πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…