Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Goalllllllll
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio ligi iliyofanya Simba mpigwe faini mil 23 na caf kwa kuroga uwanjani.kama ni loosers kwanini mlitumia nguvu nyingi mpaka kuroga?Hii mimba yangu haitaondoa kwamba mko ligi wa waliofeli. Kishuleshule inaitwa second selection!!
LOOOOOOSERS!!
Sawa ni faida shida yanga mnaongea sanaa nipo nasubiri niagize ninachotakadah! Mechi ikiisha agiza chochote kwanza [emoji4][emoji4][emoji4]
Simba na Yanga zikisonga ni faida kwa mpira wa nchi nzima
Hawa jamaa wametishika na 7 za jana.
Home advantageDiara anapoteza muda
Tuache maneno kwanza, tuunganishe nguvu watani.. utani wetu ni local match tu, ila za kimataifa sie ni wa mojaSawa ni faida shida yanga mnaongea sanaa nipo nasubiri niagize ninachotaka
unakubali hiyo ligi ya losers au hukubali?? Ina maana leo mnamkataa zeruzeru wenu yule?Na ndio ligi iliyofanya Simba mpigwe faini mil 23 na caf kwa kuroga uwanjani.kama ni loosers kwanini mlitumia nguvu nyingi mpaka kurogk
Wewe chizi kajifunze kwanza kuandika ndiyo uje kwangu.Akuna aliyekuuliza, wenye timu yao awana wasi wasi na ushindi, sherehe sio yako kihere here cha nini?
Yanga wanaongea.Sawa ni faida shida yanga mnaongea sanaa nipo nasubiri niagize ninachotaka
Hana "h" huyo msameheWewe chizi kajifunze kwanza kuandika ndiyo uje kwangu.
Wapi limeandikwa loosers?unakubali hiyo ligi ya losers au hukubali?? Ina maana leo mnamkataa zeruzeru wenu yule?