Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Tunz akiba ya maneno yajayo yanafurahishaKichaka cha CL tunakichoma motoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunz akiba ya maneno yajayo yanafurahishaKichaka cha CL tunakichoma motoo
Achanae huyoKwani ww una points? Baada ya kushinda ugegenini na mimi nina ngapi.
Hatua ya kuingia Makundi mechi ya Mwisho nilishinda kwenye uwanja gani? na kwenye nchi gani?
Ukishajua nchi kacheki Rank za CAF halafu fananisha na uliyo shinda wewe na niliyo shinda mimi ndipo utajua hujui.
Au sio 😀1Tuwaombee ndugu zetu Monastir watuwakilishe vyema.... Uzalendo kwanza
Watu hawataki hata aandike Yanga yani..wana bifu nae zito wakati hana baya 😆 😆 😆Dah sema bongo kugumu sana, yaani OKW BOBAN SUNZU kajitolea kutuletea uzi na haonyeshi upendeleo lakini bado kuna raia zinamtia spana tu😀😀.. Bongo hatuna jema dadek
InakuuuuumaaaaaaaHongereni utopolo kwa kuingia robo fainali ya kombe la mbuzi
Umeona uwanja ulivokuwa lakini au unaongea tuYanga hawana mpira wa kuvutia yofauti na ladha ya Simba wakiw uwanjani.
Kinachowasaidia hawa ndugu zetu ni midochi + kukimbia kimbia bila malengo.
Toka umezaliwa hatimaye ukiwa uzeeni unaishuhudia Uto...ndani ya robo fainali ya CAFCC....hii ni jambo la kujivunia....hongeraKichaka cha CL tunakichoma moto.
Nishaiscreenshot hii thread,tuombe uhaiTunz akiba ya maneno yajayo yanafurahisha
Huna kombe lolote iwe CC au CL,huna chochoteToka umezaliwa hatimaye ukiwa uzeeni unaishuhudia Uto...ndani ya robo fainali ya CAFCC....hii ni jambo la kujivunia....hongera
Unaloa ukowa wapi?? 😂😂😂Yanga anafungwa au sare,na ikishakuwa hivo maana yake ni kuwa Tp mazembe anashinda kule kwa Bamako na kisha anamsubiri yanga kwa hamu pale Lubumbashi amfanyie circumcision afikishe points 9 yanga abaki na points 7 au 8 zake.
Yanga hafuzu,nipo paleeee....
Waendeleaje na hali??My arabian name is Sheikh Kenge bin Al-10.
Furaha ya Kuishuhudia Uto...ndani ya robo fainali ya CAFCC baada ya miongo ya kutosha ni zaidi ya hivyo vikombe..Huna kombe lolote iwe CC au CL,huna chochote
Au sio 😂😂 Mbumbumbu fcUzalendo mm sina acha yanga wafinywe ili wawe na adab na mkubwa ..maaana wanadharau sana ..subiri niendeleee kushangilia kila siku maaana mpaka wiki inaisha daily nashabgilia kigoli kimoja ...
Imetiki 😂Mayeleeeeee chuma
tunatest mitambo.
Aahaahaa,wewe huna lolote,kombe lako ni robo na nusu tuFuraha ya Kuishuhudia Uto...ndani ya robo fainali ya CAFCC baada ya miongo ya kutosha ni zaidi ya hivyo vikombe..
Au sio zuwena fcZilizo nifikia wakati huu ni kwamba, mvua kubwa inanyesha dimba lote la mkapa limejaa maji mithili ya swimming pool,,..
NB: Hakuna uchawi unaofanya kazi kwenye mvua, hivyo msishangae zikapigwa set pieces mbili wananchi tukalala na viatu tena mapema sana..
ehee hayo ndo👆maneno ya utani wa jadi sasa.Unaumia na matokeo ukiwa wapi 😁