FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

Achanae huyo
 
Unaloa ukowa wapi?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yanga kaingia robo fainali yani ni kama hamna kilichotokea, kimya watu bado wapo bize na ushindi wa jana,, ushindi mkubwa dhidi ya timu kubwa kwenye mashindano makubwa ya caf champions league,, ushindi wa kihistoria kwenye mechi yenye kuamua hatma. Anyways hongereni ila kwanini hamtaki kutuelewesha, sisi tunaitambua champions league pekee nyie wenzetu huko kwingine mnashirikishana nini ??
 
Au sio zuwena fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…