Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Daima mbele nyuma mwikoMalizia slogan hiyo,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daima mbele nyuma mwikoMalizia slogan hiyo,,
Mimi kama msemaji wa chama
Ameagiza nije niwaulize je??
Amkopeshe mkono wake wa kushoto aziz ki
Maana mkono wa chama tu akipewa aziz ki
Anakuwa kama chama aliyetoka mazoezini
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
NB. Monastir nmeanza kuipenda toka 1984
Ewaah nikajua mwiko mmeubadilisha mumeweka kitu kingine huko nyuma.Daima mbele nyuma mwiko
Kama ndio hivi basi mpira uarishwe vichwa vitulie kwanzaView attachment 2557965
Anaitwa habiby de souza dinho ana asili ya Brazil kacheza na VINI jr alipiga chenga mpka refa ndyo akaletwa Africa
Mechi 20 assist 80 alifunga goli kimara to dodoma
Bangala anamjua
US MONASTIR DAMU[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249]
Wala haina haja kusubiri. Wanavaa hizohizo usizozipendaNgoja tusibiri tuone kama watavaa jezi zenye rangi za timu au kaniki nyeusi za wizards
We kuku maji.... usiiukimbie huu uzi wako.Tunakumbushana tu
US MONASTIR 2
UTO 0
Yaan bora tufunge hata kimoko tuEe Mungu tusaidie tushinde leo tuepuke kuzima data wiki nzima, tutaziweka wapi sura zetu kwa midomo ya hawa Makolo.
Iwe hivyoYanga wanashinda hii gemu makosa waliyofanya mechi ya kwanza ni kuruhusu magoli ya mipira ya kutengwa au iliyokufa wskikomaa kuruka vichwa leo hao waarabu wanakufa tena si chini ya goli mbili ingawaje ni wazuri wa kuzuia na counter za haraka haraka kama walivyowaua Mazembe dakika chache goli mbili inabidi wafe ili tupate heshima iliyopotea mjini kwa muda mrefu...
Na CAF huwa hawahairishi mechi kirahisiKwa hii mvua boli itatembea kweli? Au ndo hawa ndugu zetu washapata kisingizio.
Tuwakumbushe kwamba Red Arrows alikula bao 3 kwenye pitch hiyo hiyo iliyojaa maji.