OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #401
Faulo pale kwenda USM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sawa kabisaVipi Uwanja unachezeka
Siwezi kubishana na mtu ambaye anashabikia Simba ila hamjui Rage2005 Jangwani kilinuka malalamiko kwa tff na body ya ligi yalitapakaa Jangwani nzima.
Ndio mko nyumbani nyie vyura.Uwanja una maji balaa
Haya Gongowazi SC[emoji196] اليوم هو يومك لتلقي ضربة قاسية منهم US Monastir
Tunawaombea mkutane na vibonde mamelodiMuda kama huu jana simba tuna goli 2
Basi ngoja nikacheki gameUko sawa kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Musonda [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Nani amefanyiwa haya majaribioGoooooo offside
Jamani[emoji15][emoji15][emoji15]Yanga anafungwa au sare,na ikishakuwa hivo maana yake ni kuwa Tp mazembe anashinda kule kwa Bamako na kisha anamsubiri yanga kwa hamu pale Lubumbashi amfanyie circumcision afikishe points 9 yanga abaki na points 7 au 8 zake.
Yanga hafuzu,nipo paleeee....
MusondaNani amefanyiwa haya majaribio
Butua butuaVipi Uwanja unachezeka
Chini ya uongozi wa Rage si ndio mlikufa tano bila shamba la bibi au nimekosea?Siwezi kubishana na mtu ambaye anashabikia Simba ila hamjui Rage