Utajua sasa kama hata Tembo akikonda hawezi Kua ndamaZilipendwa.
U'r era diminished.
Leo.
Mbona hata simba walikuwa wanawekea na viongozi wa serikali wanaoshabikia yanga.kazi ni ngumu, Timu tunazocheza nazo zimeanza kuwekewa milioni 200 kutukazia
Mtu na kaka ake..Ndungu wamekutana[emoji16]View attachment 2897401
Tutawalipa mapema kama mlivyolipwa mapema na kula mkonoMuwalipe mapema sasa asije wakawasumbua kama wale wa Juzi
Una maneno mwamba!!Utajua sasa kama hata Tembo akikonda hawezi Kua ndama
Guede Boy!!Mm ni simba lakini huyu striker Joseph Guede ni mashine kila mechi anafunga magoli makali sana....
Point moja itoke wapi?
Mzunguko wapili bado jombaaKwa jinsi mzunguko wa pili wa ligi ulivyoanza kila timu imekua bora lakini hiyo haizuii Yanga kupata point tatu mbele ya Mashujaa
Utakufa mdomo wazi wewe KOLO utupe shida kuufumba..!!Mashujaa Peleka msiba mzito kwenye dimbwi la Vyura
Mpesa zisome mapemaMuwalipe mapema sasa asije wakawasumbua kama wale wa Juzi