Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Dakika ya ngapi kwaniRefa maliza mpira,mimi nasinzia hapa
Sema Feisal yupo vizuri. Yupo wapi sasa kama hayupo kwa game?Aucho hayuko kwa game kabisa
Alaf awe anaifunga funga yangaIla uyu mzize sio size ya yanga wana force tu ili bidi hawe ihefu uko
NA tunaridhika nayoFriends of Azam wao sare inawatosha sana.
Aifunge Yanga arudishe heshima.FEI TOTO katika ubora na makali yake
Naunga mkono hojaBora aingie Skudu Makudubela.
FunuaRefa kaifunika [emoji23][emoji23]