Nebuchadneza
JF-Expert Member
- Oct 6, 2023
- 435
- 1,093
Wataisoma nambaTumewachania mkeka wao, walihaidiwa 500 ml.
Hongereni aisee.Mji uko kimyaaaa na hii ndiyo Yanga niijuyo....
Wale waliokuwa wanasubiri, tuteleze leo wamejificha kimya. Aibu yenu....
💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Mkuu, hujawazoea?Mtu anaparimia comment yangu na kauli ambazo hazina mantiki yoyote, sikuwa nimemtag wa kutukana yoyote, kwanini aje na maneno ya kijinga.?
Kama ulitegemea nimjibu kilaini baada ya yeye kureply vile, jifikirie tena..!
HahahahhahahahahahahhahahhahajajhahhaahhahahahaahahhahahahahahaaahhahahahahahhaahhahahahahahhahaahahahhaSasa tuhamie kwenye ule uzi wetu
Chakuzingati sijapasuka popote.Mtu anaparimia comment yangu na kauli ambazo hazina mantiki yoyote, sikuwa nimemtag wa kutukana yoyote, kwanini aje na maneno ya kijinga.?
Kama ulitegemea nimjibu kilaini baada ya yeye kureply vile, jifikirie tena..!