Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu tuwe wakweli..Hujahitimisha!
Kwahiyo wameunda mkakati upi sasa tukamchambe GSm
Tatizo mechi za TASAF hizi ndio zinazotufanya tuonekane hivyoWe jamaa huwa UNAROPOKA mashudu aiseee!!
Kama Kibu tuBoka ni minguvu tu.
Sina uhakika na intelligence yake 😆
Ungeanza kueleza namna mlivyofungwa ile 5Ebu tuwe wakweli..
Ndio tunakiri kuwa tunazipenda hizi timu hilo hatukatai.
But let's put our feelings aside
Hivi hata wewe assume ndio kipa, unafungwaje kwa huu mpira?
View attachment 3114475
Hata hapa ilikuwa ni Bahasha 🤣🤣🤣🤣I told you people.
Mambo ya Bahashaaaaa
Ilikuwa penalty halali?Nikumbushe hilo tukio la Kapombe lilifanyika dakika ya ngapi?
🤣🤣🤣🤣🤣Ni kupaki tu na counter attack
Pole yako huo mkakati omba usije kukukuta iyo trh 19, Maana mikakati 3 mfululizo ishakutoboa!Wachezaji ni kama washachoka na kuna muda unaona ubora wao waliokuwa nao misimu miwili nyuma umepungua kwa kiasi kikubwa.
Walianza na mechi ya Ken Gold wakatoka na bao moja, Ken Gold ambao hawakuwahi kupata hata point 1 katika michezo yake yote.
Wakijitetea kuwa sababu ni mechi ya mkoani na wao wamekuwa na bahati mbaya na mkoa wa Mbeya.
Mashabiki wakaamini hivyo. Mechi yao na KMC ndio iliyokuja kuwakatisha tamaa mashabiki.
KMC naye alikuwa amepoteza mechi 2 huku mechi moja akiwa amefungwa na Azam bao 4 kwa bila.
So mashabiki wakaona kwa Yanga yao jinsi ambavyo inamsumbua Azam basi wakajiwekea matarajio makubwa kwenye hiyo mechi.
Lakini matokeo yakaja tofauti ushindi ni goli moja.
Sasa tangia hapo ni kama Yanga wakaunda mkakati mwingine wa ziada wa kufanya lolote linalowezekana ili mechi ya leo iwe na magoli mengi kurudisha hope kwa fans.
Kipa kajifanya anaruka,magoli ya bahasha bhanaMaxi Nzengeli 𝐌𝐀𝐍 𝐎𝐅 𝐓𝐇𝐄 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 mchezo wetu wa leo dhidi ya Pamba Jiji FC🙌🏽
Hivi Camara au Diara anaweza kufungwa goli kama hii?hizi ni fixingEbu tuwe wakweli..
Ndio tunakiri kuwa tunazipenda hizi timu hilo hatukatai.
But let's put our feelings aside
Hivi hata wewe assume ndio kipa, unafungwaje kwa huu mpira?
View attachment 3114475
Na wewe kwenye ngao ulipewa bahasha ukaliwa kimoja ?Kipa kajifanya anaruka,magoli ya bahasha bhana
Mbona hilo liko wazi? Siku kadhaa kabla ya mechi kuna Wadau walioimba TFF kwa kushirikiana na Takukuru wachunguze miamala ya simu ya baadhi ya Wachezaji wa Simba. Hao . Wachezaji wengine mnao huko kwa sasa.Hata hapa ilikuwa ni Bahasha 🤣
Kolo ni kolo tu
Ni Kweli Kolo.Mbona hilo liko wazi? Siku kadhaa kabla ya mechi kuna Wadau walioimba TFF kwa kushirikiana na Takukuru wachunguze miamala ya simu ya baadhi ya Wachezaji wa Simba. Hao . Wachezaji wengine mnao huko kwa sasa.
Na isitoshe Yanga na Pamba wote ni wajukuu wa Gsm yani leo tuliangalia Movie badala ya mpira.Sasa tangia hapo ni kama Yanga wakaunda mkakati mwingine wa ziada wa kufanya lolote linalowezekana ili mechi ya leo iwe na magoli mengi kurudisha hope kwa fans.
Mtanzania anachojua ni majungu alafu majungu sio mtajiWakishinda Bahasha!
Wasiposhinda wameshuka kiwango!
Red card wamedhaminiwa na Gsm
Ile match waliuza kina bangala shaban juma2023 goli mbili bila ligi kocha akiwa Robertinho.
Mbaka wakamuita Robertinho mbabe wa Yanga.
At the end Yanga ikamfukuzisha mwaka huu kwa goli 5.
Unateekea wapi mida hii??Mshangao!
Tukutane hapa saa 2usiku
Siamini kama zitazidi 4Wanakula chuma tano safi leo