FT: Yanga SC 4-1 Mtibwa Sugar | NBC Premier League | Azam Complex | 16.12.2023

FT: Yanga SC 4-1 Mtibwa Sugar | NBC Premier League | Azam Complex | 16.12.2023

Sikushangai maana najuaga una kichwa kigumu mixed na ukweli kuwa ulishaapa kwa katiba ya Yanga kuwa bishana hadi ufe. Halafu hauna hata chembe ya aibu. Najua umesoma ukaona jinsi post zako mwenyewe zilivyokuumbua unatafuta pa kutokea haupaoni. Sasa hivi unabeti nichoke nikuache.

Soma hapa ulipokuwa dalali wa IFFHS

Ksanza jifunze kustick kwenye hoja moja kisha ikishafikia muafaka ndipo unaenda na hoja nyingine. Hiwa sijuagi kujadilana na watu wasiojua kupangilia hoja na kustick kwenye hoja. Sasa unataka nikujibu swala la IFFHS au la kuhusu clean vs goal difference katka ligi ambalo ndio ilikuwa ndio hoja yako Tafuta mwingine wa kupotezeana nae muda, siwezi kupoteza nguvu zangu kwa mtu kama wewe usiyejua kujibu hoja wala kupangilia hoja wala kustick kwenye hoja.
 
Sikushangai maana najuaga una kichwa kigumu mixed na ukweli kuwa ulishaapa kwa katiba ya Yanga kuwa bishana hadi ufe. Halafu hauna hata chembe ya aibu. Najua umesoma ukaona jinsi post zako mwenyewe zilivyokuumbua unatafuta pa kutokea haupaoni. Sasa hivi unabeti nichoke nikuache.

Soma hapa ulipokuwa dalali wa IFFHS

Ksanza jifunze kustick kwenye hoja moja kisha ikishafikia muafaka ndipo unaenda na hoja nyingine. Hiwa sijuagi kujadilana na watu wasiojua kupangilia hoja na kustick kwenye hoja. Sasa unataka nikujibu swala la IFFHS au la kuhusu clean vs goal difference katka ligi ambalo ndio ilikuwa ndio hoja yako Tafuta mwingine wa kupotezeana nae muda, siwezi kupoteza nguvu zangu kwa mtu kama wewe usiyejua kujibu hoja wala kupangilia hoja wala kustick kwenye hoja.
 
Ksanza jifunze kustick kwenye hoja moja kisha ikishafikia muafaka ndipo unaenda na hoja nyingine. Hiwa sijuagi kujadilana na watu wasiojua kupangilia hoja na kustick kwenye hoja. Sasa unataka nikujibu swala la IFFHS au la kuhusu clean vs goal difference katka ligi ambalo ndio ilikuwa ndio hoja yako Tafuta mwingine wa kupotezeana nae muda, siwezi kupoteza nguvu zangu kwa mtu kama wewe usiyejua kujibu hoja wala kupangilia hoja wala kustick kwenye hoja.
Hahahah umetafuta pa kutokea haupaoni halafu bado unaleta habari za kustick kwenye hoja wakati uliyeingia cha kike ni wewe mwenyewe kwa kuleta hoja ya GD kwenye mjadala wa clean sheet
 
Sikushangai maana najuaga una kichwa kigumu mixed na ukweli kuwa ulishaapa kwa katiba ya Yanga kuwa bishana hadi ufe. Halafu hauna hata chembe ya aibu. Najua umesoma ukaona jinsi post zako mwenyewe zilivyokuumbua unatafuta pa kutokea haupaoni. Sasa hivi unabeti nichoke nikuache.

Soma hapa ulipokuwa dalali wa IFFHS
Una uelewa mdogo sana, IFFHS na ligi ni mizani miwili tofauti mzee. IFFHS wao wanajihusisha na performance na ndio maana unaweza kuona timu imeshinda kombe na akawa chini kwenye rank za IFFHS.

Mechi ya jana haikuwa mashindano ya IFFHS bali ni ligi kuu ambapo mshindi hupatikani kwa kuangalia points au goal difference endapo point wamefungana.
 
Una uelewa mdogo sana, IFFHS na ligi ni mizani miwili tofauti mzee. IFFHS wao wanajihusisha na performance na ndio maana unaweza kuona timu imeshinda kombe na akawa chini kwenye rank za IFFHS.

Mechi ya jana haikuwa mashindano ya IFFHS bali ni ligi kuu ambapo mshindi hupatikani kwa kuangalia points au goal difference endapo point wamefungana.
Kumbe bado upo.... Najua unapoelekea utawakana hata hao IFFHS kuwa hawana umuhimu wakati umewapigania sana kisa nimekubana mbupu. Kwani aliyesema IFFHS wana ligi yao ni nani? Kwani hapa ulikuwa unaongelea clean sheet ya mashindano gani?

Wao kazi yao ni kuchukua takwimu za idadi ya mechi ulizocheza, idadi ya magoli uliyofunga, idadi ya magoli uliyoruhusu, idadi ya clean sheet, idadi ya mechi ulizoshinda n k.
 
Kumbe bado upo.... Najua unapoelekea utawakana hata hao IFFHS kuwa hawana umuhimu wakati umewapigania sana kisa nimekubana mbupu. Kwani aliyesema IFFHS wana ligi yao ni nani? Kwani hapa ulikuwa unaongelea clean sheet ya mashindano gani?
Clean sheet inakuwa inahesabika kwenye ku determine performance na sikusema ni clean sheet peke yake bali kila data inayohusiana na mpira wa miguu mfano magoli ya kufungwa na kufunga, idadi ya michezo uliyoshinda n k hizo ni data zinazochukuliwa na IFFHS kwa kila timu zinazoshiriki mashindano yanayotambulika na FIFA ( ligi kuu, FA na kimataifa)

Ila ligi kuu ni swala la ukusanyaji wa point na magoli.
Timu A ikitoka 0:0 dhidi ya B huku
Timu C ikishinda goli 2:1 dhidi ya timu D
Kimsimamo wa ligi, Timu C pamoja na kukosa clean sheet, atakuwa juu ya timu A na B ambao wote wana clean sheet.

Scenario 2
Timu A kashinda 3:0 dhidi ya timu B
Huku timu C kashinda magoli 5:1 dhidi ya timu D
Kimsimamo, Timu C atakuwa juu ya timu A, Japokuwa timu A ana clean sheet.


Usipoelewa hapo kuhusu clean sheet vs goal difference kwenye ligi kuu, basi.
 
Back
Top Bottom