Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
-
- #421
π€£πππππDogo acha mbwembwe...hahha
Kama unacho mwenyewe basi sio tusi.....shweitwainii wa gsm....hapo Kuna tusi asee... Nyie yanga ashinde mlalamike... Tukiwajibu mlalamike hivi mna shida gani nyie visimbuzu vya Moooπ
KumbeHilo 1:5 pia zilipendwa
πππππππ
π π Naona unaruka madesa ya CAF kweny Uzi wa yanga... Hivi No asharudisha timu yetuWapo watakaoanzisha...kwani unateseka?
π€£ππππππππππππ
Nimewakumbusha tuu....halafu uzi wa Yanga kwani una hati miliki?.π π Naona unaruka madesa ya CAF kweny Uzi wa yanga... Hivi No asharudisha timu yetu
π π π Hizi 5 zinawavimbisha Sana wenye navyo mnakuja na makasiriko sanaKama unacho mwenyewe basi sio tusi.....shweitwainii wa gsm....
Hivi aliichukua?π π Naona unaruka madesa ya CAF kweny Uzi wa yanga... Hivi No asharudisha timu yetu
Tuliza wenge wewe...π π π Hizi 5 zinawavimbisha Sana wenye navyo mnakuja na makasiriko sana
Utakuwq na mimba changa wewe sio makasiriko haya aseπ π visimbuziii fcNimewakumbusha tuu....halafu uzi wa Yanga kwani una hati miliki?.
Hivi aliichukua?
Kunywa maji lala... Acha paparaaa utatapika bure.Tuliza wenge wewe...
Mwenye mimba utamjua tuu kwa kucheka cheka hovyoo...halafu mimba ni sifa kwa mwanamke au unataka niwe mgumba? Au unataka unisaidie...Utakuwq na mimba changa wewe sio makasiriko haya aseπ π visimbuziii fc
Unataka nikuwekee nyingine? Njoo uone nikupge msako wa 5G πMwenye mimba utamjua tuu kwa kucheka cheka hovyoo...halafu mimba ni sifa kwa mwanamke au unataka niwe mgumba? Au unataka unisaidie...
Mtake msitake kwny uzi wenu tutakuwepo hata mje na mitusi kama wapiga ngoma wa vigodoro....uzi bila utani wa Simba nao ni uzi?? KwendraaaaKunywa maji lala... Acha paparaaa utatapika bure.
Ww si ndo secretary wao unajua ratiba zote...Muulize Mangungu