Labda ujipige mwenyewe ujiridhishe kwanza.. π π πUnataka nikuwekee nyingine? Njoo uone nikupge msako wa 5G π
Kolo Wizard analambishwa tena KonoKuna mtu safari hii anapigwa tena 5
π π Simba mnapenda Sana bao 5... Mnaumia wengine wakipigwa!.Labda ujipige mwenyewe ujiridhishe kwanza.. π π π
Hahaha unateseka ukiwa wapiNawatakia WANANCHI kila lililobaya, shari, mikosi na mabalaa yawaandame daima. AAMIN.
Waukae mwanakwetu umeona leo tumemkaza yule mtoto Ihefu pigo la Mwana ukomeLabda ujipige mwenyewe ujiridhishe kwanza.. π π π
Nasikia kuna goli lilikua hati hati liingie ila halijaingia refa kamaliza kawek mpira kati mambo yaendelee haraka mpera mpera..sisi ndo Yang'aaaaaWaukae mwanakwetu umeona leo tumemkaza yule mtoto Ihefu pigo la Mwana ukome
πππ At last leo nimecheka waukae mwanakwetu π€£Nasikia kuna goli lilikua hati hati liingie ila halijaingia refa kamaliza kawek mpira kati mambo yaendelee haraka mpera mpera..sisi ndo Yang'aaaaa
Wee ni saa kumi uweeeeπ! Lazima niwacheke aseeπKesho tupo watani wenu orijino na singida mida,ya saa mbili usiku...
Msimu huu hata haujaishaHilo 1:5 pia zilipendwa
Hongera mtani kisasi kimelipwa kimelipwaje tutajua sisi huku mashabiki...kikubwa point 3 waukae...sisi ndo Yang'aaaaaπππ At last leo nimecheka waukae mwanakwetu π€£
Refa katugea ZAWADI pale mtani wangu πππNasikia kuna goli lilikua hati hati liingie ila halijaingia refa kamaliza kawek mpira kati mambo yaendelee haraka mpera mpera..sisi ndo Yang'aaaaa
Muda umesogezwa jamani..ulikua hujui eee...ww kula ushibe mapemaa ucheke vzr..hata mm nina wasi wasi utacheka kwakweli... π πWee ni saa kumi uweeeeπ! Lazima niwacheke aseeπ
Naunga mkono hoja π€£πTFF wapeleke Kombe mitaa ya twiga na jangwani
Haijaisha mpk iishe...TFF wapeleke Kombe mitaa ya twiga na jangwani
Hakuna timu inayoshiriki ligi kuu bara haijawahi kupigwa 5π π Simba mnapenda Sana bao 5... Mnaumia wengine wakipigwa!.
Vipi hii nayo ilichezwa kabla??..Mlihongwa shilingi ngapi ndugu MHASIBUView attachment 2931550
Hapa ni mechi ikichezwa, mnachosubiri ninyi ni marudio. Itakuwa ni mara ya kwanza toka nizaliwe kuona matokeo kubadilika wakati wa marudio
Kuna kauli moja nimekuwa naitumia mara kwa mara, "ni rahisi kuwa muhuni kuliko kuwa mtakatifu"Tulia wewe kisasi kimeshalipwa