Yanga wanacheza mpira wa kizamani sana ukiachana na ushabikiKwann mkuu
Jibu swali?Umeanza kuchanganyikiwa
Sahihi mkuuHii inachangiwa na kukaa muda mrefu bila kucheza, timu bado inakuwa haina fitness nzuri
🤣🤣🤣Kichwa Kichafu kwenye nyuzi kama hizi humuoni, subirieni kesho muone atakavyokuwa anatamba kwenye uzi wa mabingwa.
Yani hii team huwa haina mvuto kabisa[emoji2]
Kumbe upo huku?
Furahia sasa mayele katupia hukoSahihi mkuu
OGmayeleeeee goaaal
haaa! kumbe wamejifunga37' KMC wanajifunga....goaaaaallllll