Mgodo Mgodoki
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,399
- 1,366
Wewe Kolo Yanga imefungwa match ipi?Una sifa zote za kuwa shabiki maandazi. Msimu huu timu inayoitwa yanga imefungwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Kolo Yanga imefungwa match ipi?Una sifa zote za kuwa shabiki maandazi. Msimu huu timu inayoitwa yanga imefungwa.
Kaangalie matokeo ya mechi zote utopolo ilizocheza msimu huu uone kama hamna vipigo.Wewe Kolo Yanga imefungwa match ipi?
Timu inayo jiita kubwa ni aibu kujivunia robo finallyKibunda ambacho inapata team inayoingia robo fainali CAFCL ni $600k na kwa anaefika hatua hiyo CAFCC ni $300k ampapo ukijaribu kulingaisha na mpunga wa kombe la ligi ni sawa na mavi tu, kwahiyo usidharau swala la team kufika robo fainali katika hayo mashindano.
Huku kwenye ligi ya ndani kuweka heshima tu, lakini huwezi kujivunia hilo.
Acha kuongea ongea wewe hz timu za kkoo zina tofauti gani kwenye kunipendekeza serikalini? Si juzi tu hp mlikuwa bize na nakonda na spika au unadhani tumesahau na mkamfanya mmoja wa wajumbe wa bodi ya wakurugenzi alitambulishwa na gabacholi wenuNdugu zetu Wanapenda kujipendekeza
Uko sahihi kakaKabisaaa
Taratibu, utauwwawa bure kwa kusema ukweli.Mm Simba ila Yanga kiboko aisee, wanaupiga mwingi kama Bacca ya Guardiola, kuanzia kipa mpk Mayele wote wana control, tofauti na cc tunaruka ruka tu uwanjani, tumejaza wazee na mpira wetu ni kutegemea ndumba tu pale kwa Mkapa.
kwani Makolo lengo lenu msimu huu ilikuwa shirikisho au Caf ?Kwa hiyo utopolo imeanzishwa kwa ajili ya ligi ya ndani tu?
Mzee Kuna pesa kule, we unafikiri wale waarabu walianzisha hadi ugomvi kwaajili gani, wanajua wakikwama watakosa pesa nyingiKwahyo malengo yeni ni robo ili mpate kibunda?
Nmekuuliza ni kombe gani la kimataifa ambalo wewe unalo Yanga hawana? Kama hakuna, tuliza mihemko mzee. Kuishia robo fainali na hatua za mtoano haijawahi kuwa counted kama mafanikio ya mpira na ndo maana kwenye makabati utakuta makombe na si sticker za kueleza tulifika robo fainali.
Tottenham hana kombe. Na kwenye kabati lake hawezi kuweka ati alifika fainali kombe la mabingwa dhidi ya Liverpool. Hilo linabaki kuwa fahari ya mdomo tu
Imeisha iyooo!! 2-0Ni mechi inayosubiliwa kwa hamu na rage fc
K ni k tuJipige finga halafu nusa kisha sema hii ni kwa hisani ya GSM.
Yanga wanaonekana kama hawazuiliki