FT: Young Africans 2 - 0 KMC | NBC Ligi Kuu | Benjamin Mkapa Stadium

FT: Young Africans 2 - 0 KMC | NBC Ligi Kuu | Benjamin Mkapa Stadium

Ishu kuwa umo au haumo sio hoja. ukweli ni kwamba msimu huu utopolo imetobolewa mara mbili.
Naona napoteza muda wangu kwako. Ni kwamba umeamua kutoelewa ama kubishana sababu ukolo umekujaa kichwani.

Haya leta mechi ya ligi kuu ambayo Yanga kafungwa ewe kolo lililokithiri
 
Naona napoteza muda wangu kwako. Ni kwamba umeamua kutoelewa ama kubishana sababu ukolo umekujaa kichwani.

Haya leta mechi ya ligi kuu ambayo Yanga kafungwa ewe kolo lililokithiri
Kwa hiyo utopolo imeanzishwa kwa ajili ya ligi ya ndani tu?
 
Naona napoteza muda wangu kwako. Ni kwamba umeamua kutoelewa ama kubishana sababu ukolo umekujaa kichwani.

Haya leta mechi ya ligi kuu ambayo Yanga kafungwa ewe kolo lililokithiri
Kwahiyo hapa ile hoja ya kusema kwamba Yanga ndo team pekee ambayo haijafungwa Africa kama mnavyotamba inakuwa haina mashiko, maana tayari mliwahi kufungwa na wale wanigeria ambao ni waafrica pia.
 
Babu huko kimataifa, umesinda kombe lipi ambalo yanga hana? Au kombe la robo fainali?
Kibunda ambacho inapata team inayoingia robo fainali CAFCL ni $600k na kwa anaefika hatua hiyo CAFCC ni $300k ampapo ukijaribu kulingaisha na mpunga wa kombe la ligi ni sawa na mavi tu, kwahiyo usidharau swala la team kufika robo fainali katika hayo mashindano.

Huku kwenye ligi ya ndani kuweka heshima tu, lakini huwezi kujivunia hilo.
 
Back
Top Bottom