Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani msimu huu hamjafungwa?Na nyinyi zamu yenu ya kupigwa 💉💉 inakaribia. Ni vizuri mkaanza mapema kujiandaa kisaikolojia.
Yanga ya msimu huu ukitoa nayo sare, ni lazima ushangilie kama walivyofanya Mbeya City. Nje na sare, ni kipigo tu na kutetema.
Nani katufunga?Kwani msimu huu hamjafungwa?
Timu Gani Imeifunga Yanga?Kwani msimu huu hamjafungwa?
Chakusikitisha Boko kacheza Game 13 ligi kuu ana Goal sifuri wakati Injinia kacheza match moja ana goal moja.Goli alilofunga leo Injinia Hersi ni kali sana litafute ulione
Kweli Kabisa Amedrop JamaaFei Toto ameshuka sana kiwango siku hizi , mechi kibao anacheza chini ya kiwango.
Yanga imefungwa na timu gani? Amka usingizini nenda kakojowe utajikojolea bure upo ndotoni.Kwani msimu huu hamjafungwa?
Magoli ya Yanga sio kama ile kesi ya Mbowe.Magoli Ya Mchongo Mchongo....!!
Alienda kufunga ndoaAmeenda Kwao Kuona Familia Yake Pia Ana Majeraha Madogo Madogo Ambayo Yasingemruhusu Kucheza Leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani aliyethubutu?Kwani msimu huu hamjafungwa?
Manula piaHuyo ni duka la Yanga, na kengine ni kale kajamaa kalikoshindwa mpira Zambia (Kessy).
Anaisubiri SimbaHivi Aucho yuko wapi?
Kawepe tu hakuna shida.Ni kma KMC wamenyimwa penati
Kama zile za shirikisho tu.Aisee kweli kwenye soka sio kiwango tu, hadi bahati zipo
Kwa hiyo nyinyi kwenu mechi ni ligi tu ya ndani?Nani aliyethubutu?