Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
79' Mayele anatengeneza nafasi lakini wenzake wanashindwa kuitendea haki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nani hatujapigwa?Huyu ushindi poleni ... mmepigwa
Record zenu zitabaki ni ubingwa wa historia zilizopitwa na wakatiPole, Kolo. Ulipanga Yanga ateseke mzunguko wa pili, kila unachokiona unadhani mazingaombwe. Ulidhani utashinda wewe kila siku?
Hahaa na tutakutana na wewe na huambui kitu vilevile.
yule kashindwa kuitumia pass nzuri ya Mayele. Faisal Salum anazidi kushuka kiwango. Leo hajaitendea haki mechi79' Mayele anatengeneza nafasi lakini wenzake wanashindwa kuitendea haki
Itakuwa ni zile zilizokataliwa kwemye udhamini, sasa hivi zinapita mlango wa nyuma.Timu Zote Kumi Na Tano Ni Maduka Yetu Sijui Tulitumia Pesa Ngapi Kuyaanzisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
KMC washatepeta
Huu wa sasa hivi una uwezo wa kuuchukua? [emoji1][emoji1][emoji1] Au wajifurahisha tu?Record zenu zitabaki ni ubingwa wa historia zilizopitwa na wakati
Tuma salamu kwa watu watatuNa siku yenu na nyinyi ikifika, mtatepeta kama hawa KMC.
Huyuhuyu mnaemuita Iniesta??yule kashindwa kuitumia pass nzuri ya Mayele. Faisal Salum anazidi kushuka kiwango. Leo hajaitendea haki mechi
Tulianza msimu kwa kupitia mlango wa nyuma kuchukua ngao kwa Simba. So huu ni mwendelezo tuItakuwa ni zile zilizokataliwa kwemye udhamini, sasa hivi zinapita mlango wa nyuma.
Kumbe anaitwa iniesta mh basi ni huyo huyoHuyuhuyu mnaemuita Iniesta??