Lamar BlacAmerican
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 974
- 2,305
Naunga mkono hojaYes mkuu hata tukifungwa haina shida maana tutakuwa tumeshapata Mchuzi wa MAZA.
Acha majinga yako. KumbafItakuwa Mazembe wameuza game,Wakongo wanapenda sana pesa
Nimecheka sanaIlikua jana hio ila sie wapoole tunasubiria tu matchView attachment 2522780
Unamjua mmiliki wao lakinItakuwa Mazembe wameuza game,Wakongo wanapenda sana pesa
Wewe shoga kitambo dada ZuwenaYanga ikishinda mm shoga
Nasemaje Nasemaje Nasemajeeeee ! Makolo hawaamini kinachotokea ,wacha tuwafundishe maana ya KWA MKAPA HATOKI MTU.Maneno kidogo pesa nini? πππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
Nyie ndo mnaharibu timu zetu kwa mawazo kama haya,hivi inahitaji akili gani kujua kwamba yanga wana kikosi kizuri?Itakuwa Mazembe wameuza game,Wakongo wanapenda sana pesa