πππππBora kesho alale tu maana mujini kutanoga ggreen na yellow kila kona
Ulidhani Yanga anafungwa goli tatu kwao kama wewe?Mazembe mbovu bora hata ihefu
Yaan ni 2-1 wakikoswakoswa ni 3-1Mazembe ya sasa sio ya zaman,ilishajifia.
But still hizo mbili zitarudshwa tu
Yanga walifanya choice nzuri sana ya replacement ya Fei, haya mambo hayataki maringo, ukizira watu wanakula tu yani.faisal atajuta kuleta mapozi
Yaani utafikiri utapata hata 50 ya mihogo kesho hahaaaMilion 10 tayar zimeingia Yanga
AhahaaahWanazima data hawa[emoji250]β[emoji834]
Ushauri kuntuIngia ukawasaidie.
Mgumba kapata mimba aisee mji mzima mate leo nitalala mapema sanaπ¬Bora kesho alale tu maana mujini kutanoga ggreen na yellow kila kona
Jana mliamua kurudi kinyumenyume, hivi mnarudije kinyumenyume kwa waarab wakati mnajua tabia zaoπ€£π€£Jana sisi tuliathiriwa na fangasi wa uwanja wa Mkapa...leo wameishaππ
Unataka tummalizie Maza hela yake kweli!!??Leo mmewapata hawa jamaa, msipowaweka 4 sijui!
Uto...mnapambana sana kulifutia aibu taifa.Twende kazi Wananchi. πͺ
Muwafute machozi wadogo zenu.