Kama jana.
Yap!...Uto wamestahili mamilioni ya Rais..Hongereni
AhahaaahShangilia ila usiniguse
Kabisa...hii ni Vita ya Wacongo..DRC Vs DRC..Upotolo hawa Tp Mazembe mnao uwezo kuwafunga hata 5
Nawakumbusha tenaa wale waliosahau wakumbuke nilishasema kabla...Bao ni 2-1 wakikoswakoswa basi ni 3-1
Young African WIN
Ongeza na zile tatu za mheshimiwa RCUmepokea Milioni 15 kutoka kwa Samia Suluhu Hassan