princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Yanga mastriker ni kama hawana mantiki wanajaza number...
Aheri viungo
Aheri viungo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikosi cha kubeba Cafcl hiki, lazima kiwe fiti kila idara hata mieleka na masumbwi.Refa Maliza Mpira Hawa Vyura wataua wachezaji wa Bakhresa Kumbe Gamondi anawafundisha mieleka Badala ya Mpira..
mudathiri anafikiri YUPO WWE na anagombea WWE championship na Jogn Cena
View attachment 3141658
Azam wanacheza ujinga ujinga, hawastahili kabisa kupata point 3
Anatafutiwa huko.Ni kweli Yanga kafungwa?
Papatu papatu tu. Utasema wapo pungufu kwa watu wawili.Kama wanacheza ujinga ilibidi saizi wawe wameathibiwa inakuaje sasa
Kwahyo Mudathiri wamempa Kazi ya Kuthibiti mbavu na Miguu ya Azam 🤣🤣🤣😂😂Kikosi cha kubeba Cafcl hiki, lazima kiwe fiti kila idara hata mieleka na masumbwi.
Basi ndo yale yale tu hamna afadhaliPapatu papatu tu. Utasema wapo pungufu kwa watu wawili.
tarifa nzuri sana hizi hapo hawawezi pata goli mbili maisha yao yoteKatika zile 7 zimebaki 2