FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
18,585
Reaction score
16,780

πŸ”°πŒπ€π“π‚π‡πƒπ€π˜πŸ”°
πŸ† #CAFCL
⚽️ Young Africans SC Vs Medeama SC
πŸ“† 20.12.2023
🏟 Benjamin Mkapa
πŸ•– 4:00pm

Mungu Ibariki Tanzania!!
Mungu ibariki Yanga!!


#DaimaMbeleNyumamwiko#

Kikosi cha Yanga kinachoanza.


Kikosi cha Medeama Kinachoanza.

Dakika ya 33'
Yanga wanapata goli, kupitia kwa Pacome.
Yanga 1 - 0 Medeama

Half Time:
Yanga 1 - 0 Medeama...

Dakika 61'
Yanga wanapata Goli la pili kupitia kwa Kenedy Musonda/Bakari Nondo

Yanga 2 - 0 Medeama...

Mpira unaendelea.

Dakika ya 66'
Goal kwa Yanga.
Mudathiri anafunga.

Yanga 3 - 0 Medeama

Mpira unaendelea

Dakika ya 90'
Jonathan Sowah anapata Red Card.
Baada ya kumchezea rafu Skudu.

Full Time.
Yanga 3 - 0 Medeama
 
Mimi sio mganga ila Yanga badae atasare au atashinda goli moja tuu.

Alafu nimechukia kabisa hapa
πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘
 
Kila la heri wananchi.
walau mvuke hatua hii mkutane na Mamelodi Sundowns.😊
Yanga atakutana na Petro Athletico.
I mean wale watakaopita kutoka kundi C.
Simba akipita atakutana na wale watakaopita Kundi A, ambao ndio Mamelodi, Tp Mazembe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…