FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

Mshindwe wenyewe tu!! Madeama hata kwenye 30 bora za Afrika haimo!! Na mkiiangusha ni sawa na kusukuma mlevi, msidai sifa yoyote!!
Mpira hauna hizo,

USM Alger alimfunga al ahly


Halafu Wydady inafungwa hadi na timu zilizochini yake kama ASEC, simba nk

To mazembe alimpiga mamelody


Mpira wa Madeama uwanjani upo serious sio poa
 
Hii dharau chama langu litaijibu kwa vitendo leo Medeama lazima afe Young Africans 5-0 Medeama [emoji617][emoji617][emoji617][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
 
Chama lako liko nafasi ya ngapi?
Screenshot_20231220-081105_Chrome.jpg


Screenshot_20231220-081010_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom