FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

Habari mbaya ni kuumia kwa Pakua zoa zoa, Maksi mpya na aziza kei. Tff na kolo watawajulisha
 
Kila la kheri my team, leo ushindi lazima.
Mapeeeema niende zangu kushuhudia live.
 
Hii dharau chama langu litaijibu kwa vitendo leo Medeama lazima afe Young Africans 5-0 Medeama [emoji617][emoji617][emoji617][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Halafu walilalamika hawajapewa uwanja wa mazoezi masikini. Wamepewa baadae kabisa.
 
Kila la heri kwa Wananchi Yanga! 💛💚

Ushindi ni muhimu sana leo.
 
Halafu walilalamika hawajapewa uwanja wa mazoezi masikini. Wamepewa baadae kabisa.
Sheria inawataka siku moja kabla ndiyo wafanye mazoezi kwenye uwanja utakaotumika kwa ajili ya mechi.

Nawapongeza wadau wote waliowafanyia hiyo hujuma ya kuwanyima uwanja wa mazoezi. Kwa hapa tulipofikia, siyo mbaya kumharibu kisaikolojia mpinzania wako, kupitia vitu vidogo kama hivi.
 
27' aziz kiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Sheria inawataka siku moja kabla ndiyo wafanye mazoezi kwenye uwanja utakaotumika kwa ajili ya mechi.

Nawapongeza wadau wote waliowafanyia hiyo hujuma ya kuwanyima uwanja wa mazoezi. Kwa hapa tulipofikia, siyo mbaya kumharibu kisaikolojia mpinzania wako, kupitia vitu vidogo kama hivi.
Hili likiambatana na ushindi ni sawa.
 
Kila la kheri my team, leo ushindi lazima.
Mapeeeema niende zangu kushuhudia live.
Mnavyoogopaga kufungwa nyie, najua wengi wenu leo mtakuwa mnazikiliza mechi mkiwa kwenye uvungu wa vitanda.

Tena hakuna siku mwanayanga anaogopa kuvaa jezi yake kama leo.
 
Mnavyoogopaga kufungwa nyie, najua wengi wenu leo mtakuwa mnazikiliza mechi mkiwa kwenye uvungu wa vitanda.

Tena hakuna siku mwanayanga anaogopa kuvaa jezi yake kama leo.
Mimi mbona ndio naipasi hapa saa 7 tu niko uwanjani?
 
Hao matapeli Leo hapa wamaedandia mtumbwi wa vibwengo
Sisi 3
Medeama 1
 
Back
Top Bottom