Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Ah wee, hiyo sahau.Najua, nilimaanisha pale Uwanjani.
Mimi nitakuja kwa kuchelewa kidogo.
Nataka kukaa na wewe ili nikucheke. 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah wee, hiyo sahau.Najua, nilimaanisha pale Uwanjani.
Mimi nitakuja kwa kuchelewa kidogo.
Nataka kukaa na wewe ili nikucheke. 😂
Tupo hapa baada ya mechi utakuja kuniambia mzeeWadau huwa mnatoweka Mapema sana. 😂
Hii ni Champions 🏆 League
Sasa Yanga inanitesa na kitu gani Mkuu? Mechi 3 tumepoteza 1 Draw 2, kuna shida gani hapo?Hivi best angu hili litimu mbona unateseka nalo... Haya matimu huwa mnayaokota wap
😂😂 nashauri msije wengi!!Ah wee, hiyo sahau.
Duuh km ndo mamelodi bas simba tutaishia hapo robo, [emoji24][emoji24]Yanga atakutana na Petro Athletico.
I mean wale watakaopita kutoka kundi C.
Simba akipita atakutana na wale watakaopita Kundi A, ambao ndio Mamelodi, Tp Mazembe!!
Sawa, mnaichukulia Medeama poa sana.Tupo hapa baada ya mechi utakuja kuniambia mzee
Naomba laki 1 bas,Nina kama laki mbili inazagaa zagaa niwape Yanga washinde au ninywe beer tu?
Ukiacha hiyo ya siku moja kabla, sheria inataka timu mwenyeji impatie uwanja wa mazoezi mgeni wake hata zile siku kadhaa kabla ya mechi. Mlishindwa kufanya hivyo na nadhani kuna faini inawahusu.Sheria inawataka siku moja kabla ndiyo wafanye mazoezi kwenye uwanja utakaotumika kwa ajili ya mechi.
Nawapongeza wadau wote waliowafanyia hiyo hujuma ya kuwanyima uwanja wa mazoezi. Kwa hapa tulipofikia, siyo mbaya kumharibu kisaikolojia mpinzania wako, kupitia vitu vidogo kama hivi.
mbingunikwetu Mungu anakuona, mpaka wanacheza kwenye makundi lazima ujue kuwa wanajua, na vilevile ukumbuke wao ni mabingwa nchini kwao, ndiyo wapo njiani katika mchakato wa kuandika historia na kuwa kwenye hizo timu bora Afrika, hivyo usichukulie poa, usishangae Madeama miaka ijayo akawa miongoni mwa timu hatari, hivyo mechi usidhani itakuwa nyepesi, na kwa taarifa yako kundi la Yanga ni kundi gumu, kwani kila timu ni mshindi wa ligi nchini kwake. Hapa kinachotakiwa ni kuutumia vyema uwanja wa nyumbani.Mshindwe wenyewe tu!! Madeama hata kwenye 30 bora za Afrika haimo!! Na mkiiangusha ni sawa na kusukuma mlevi, msidai sifa yoyote!!
🤣😂🤣 Nitumie picha ukiwa viunga vya uwanjani ndiyo nitaamini.Mimi mbona ndio naipasi hapa saa 7 tu niko uwanjani?
Ndiwoooo!! Utaifa Kwanzaa.Shukran mno Mtani na ikawe ushindi kwetu hiyo baadae.
Hakika Mtani. Utaifa kwanza. [emoji1666]
Ngoja kwanza, hii mechi hakuna kuingia bila jezi ya Yanga, kwahiyo utavaa?😂😂 nashauri msije wengi!!
Yanga kwa Mkapa huwa hawashindi mashabiki wakiwa wengi.
Medeama ni black race pia, Saa kumi kwao hakuna challenge yoyote.
Jana Waarabu tuliwahenyesha, muda pia ulichangia ujue.
Wao yanga utasikia tukimfunga medeama tunakua na point 5 then al ahly tutamfunga kule kwake tutafikisha points 8..... Halaf tena wale wa algeria kwa mkapa hawatoki hapo tutakua tunaongoza kundi na points 11. Yanga wao ni km uumbaji wa mungu yaani wakisema inakua hivyo...Sawa, mnaichukulia Medeama poa sana.
Ni team inayocheza kwa mfumo wenu.
Wao wanakuja na lengo lao ni kujilinda.
Yes, siwezi kuvaa nguo bila kuipiga pasi.🤣😂🤣 Nitumie picha ukiwa viunga vya uwanjani ndiyo nitaamini.
Ila hold oooooon. Mnapiga pasi jezi zenu??? 😗😗
Tutalipa tu. Muhimu malengo yaliyowekwa, yatimie.Ukiacha hiyo ya siku moja kabla, sheria inataka timu mwenyeji impatie uwanja wa mazoezi mgeni wake hata zile siku kadhaa kabla ya mechi. Mlishindwa kufanya hivyo na nadhani kuna faini inawahusu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaa ni mie eti, leo natamani Yanga ashindee.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe huyo?