Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Unaongea huku unaogopa....Chek umakande wako [emoji1787] unajaribu kumtetea Ayubu aonekane kipa kumbe Pazia tu likifuliw nd linaonekan lipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongea huku unaogopa....Chek umakande wako [emoji1787] unajaribu kumtetea Ayubu aonekane kipa kumbe Pazia tu likifuliw nd linaonekan lipya
Mudathir hana akili ya mpira kabisa.
Hahahaha mkuu, kama nakuona ulivyokaa mguu sawa kushangilia jamaa wakisawazisha.Aache kusimama na maelfu wanaokufa vitani huko Gaza ahangsike na Utopolo
Bwana nothing kaotea
ShenziBwana nothing kaotea
Mwamnyeto kawapa utulivuDiarra yuko vizuri sana mkuu.
Inabidi wapate goli la pili ndio watulie. Naona kama jamaa wanaongeza uchangamfu kadiri muda unavyosonga.