Nilikuambia jana tuonane[emoji1787]Umenyooshwa tayari mkuu?[emoji1787][emoji1787]
Anakua bwegeeee sanaKii kuna wakati mwingineeee...
Dah..
mpaka sim yako imestak haiandiki kituUmenyooshwa tayari mkuu?[emoji1787][emoji1787]
Mtoa post kakimbia, akidhani LIVE ni kuandika msamiati au data imekata!!Mi mwenyewe naangalia kupitia jf.
Famba sana uyu
na hapo yanga haina fowadi