samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
SHANGAA ETI WYDAD WACHOVU WALENiko napitia comments nashangaa kuona watu wanafananisha Wydad na Medeama hivi mko serious au mnatania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SHANGAA ETI WYDAD WACHOVU WALENiko napitia comments nashangaa kuona watu wanafananisha Wydad na Medeama hivi mko serious au mnatania
Kwanza tukubaliane hapa, Belouizdad ni kibonde au sio kibonde?Sasa hao vibonde ndo wa kutuambia kweli?
Ogopa mashangingi ya sinza madukaniWashamloga Max kudadeeek..
Mtani nimekupenda bure😂😂Timu za Africa ziogope kwa mkapa, safi sana mtani... nasubr mkono.
Acha basi mkuu?Wamepiga bomu Mortuary halafu wanajisifu wameua [emoji3][emoji3]
Hapana ni vilima waleKwani Jwaneng ni vibonde...
Awepo Asikie umakande wake [emoji1787]Mkuu upo?
Mechi ya Leo ni zero tuu Haina radhaYanga ipite tu ili tuendelee kushuhudia pira biliani maana hakuna namna
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hata CR Belouizdad lazima wafe hapo Lupaso kwa moto huu..We unafikiri kuna mechi nyingine mtashinda baada ya hapa
walijua jana kazi imeisha matokeo yao yamesahaulika mapema sanaSana yani, kibaya zaidi wao walishinda mbili Sisi tumeongeza Tatu, wanaumia mioyoni mwao
Sasa kama unacheza na wachovu unategemea nini?yanga anakupa mpira usio na presha ana miliki ana shinda sio ile kushinda kwa nguvu za uganga
😜😜😜Sasa hao vibonde ndo wa kutuambia kweli?
Ulikula 5 mkaanza poteana wenyewe kwenda TAKUKURU [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pale kwa ule ulozi mlomwaga...njooni leo basi turudie mechi muone..
Hawa ni vibondeee
Hee hivi ww huwa ni Yang'aaa au Simbaaa... au kotekote...natania mkuuHata CR Belouizdad lazima wafe hapo Lupaso kwa moto huu..
Hahahaha 🤣🤣🤣 mtani naomba useme hapa kama tutatoboa robo fainali au tutaishia hapa ?Hapana toka mwanzo tuliwaambia hawa mkishindwa kuwamenya ndo basi tena..toka first tym mmepangwa nao...na nyie pia mlijipangia kupata point 6 kwao ila mmeambulia 4..