Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora mtu ushabikie Makolo ujue moja kuliko ujinga huu wa Yanga..
Mmepangiwa kundi rahisi sana UtoWangekua wao wametangulia nina uhakika ungeandika kinyume chake
Shangaa na wewe 🤣🤣UNATAKA UPEWE RAHA NA WANAUME 11 kaka?[emoji848][emoji848]
Nakuwa Yanga halafu Azam halafu mbeya City, inategemea na siku mkuu.Sema ukweli wako!!😂
Njoo huku bhana.
Wenye akili Yanga huwa ni wawili tu,huwezi Kuta ni kuanzia watatu.Matakataka kama haya Ma Nzengeli ndio mnayategemea?
Hamna akili ukimtoa Pacome na Diara wengine ni useless kama wewe
Kweli, ktk ranking ni timu ya mwisho katika timu zote 16 za makundiItoshe kusema Yanga mmekutana na vibonde
U hali gani MwasibuMods hawawezi kuacha mambo ya msingi ya kufanya
Kila Mtu anajua matokeo.Hivi hawa JamiiForums ndio wanatudharau Yanga kiasi hiki?
Kwanini hakuna live updates? [emoji35]
Hawa jamaa ni makolo, nimewasanukia.Wamelala
Wote ni Makolo wanajifanya wamelalaHivi hawa JamiiForums ndio wanatudharau Yanga kiasi hiki?
Kwanini hakuna live updates? [emoji35]
Tulieni acheni papara..ww ungefunga?Dah! Yanga hatuna mshambuliaji aisee!! Kennedy unakosaje goli lingine la wazi kiasi kile!! Mpaka muda huu tungekuwa tunaongoza 3-0!!!
labda mechi haina hadhi ya kuwa tagged 'live'Mods hii leo sio Live....hahaha kisa wameingia bure?