Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utopolo jasho na damu lazima vimwagike...Wote ni Makolo wanajifanya wamelala
😁😀🤣😅😃😃😄Leo taifa linatiwa aibu
😀😅Utopolo jasho na damu lazima vimwagike...
Kaa na utopolo yako...vumilia yataisha kipindi cha pili...Bora mtu ushabikie Makolo ujue moja kuliko ujinga huu wa Yanga..
Hawajalipwa mshahara toka mwezi wa kumi, yaani mechi ya jana walisusa tu.Oyaa Wydad sio kibonde kama hawa Madeame
Ndio uwezo wenu umeishia hapo mzeeDah! Yanga hatuna mshambuliaji aisee!! Kennedy unakosaje goli lingine la wazi kiasi kile!! Mpaka muda huu tungekuwa tunaongoza 3-0!!!
Utulivu + umakini bado haupoYanga ilistahili kuwa mbele kwa goli 4. hawatumii nafasi.
🤣😃Hii mechi Yanga lazima wapindue meza, badala ya kukalia wataibeba kichwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuu yamekuwa hayo tenaHawajalipwa mshahara toka mwezi wa kumi, yaani mechi ya jana walisusa tu.
Pipa na mfuniko wanabanduana.View attachment 2847959
[emoji617]𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘[emoji617]
[emoji471] #CAFCL
[emoji460]️ Young Africans SC Vs Medeama SC
[emoji414] 20.12.2023
[emoji909] Benjamin Mkapa
[emoji797] 4:00pm
Mungu Ibariki Tanzania!!
Mungu ibariki Yanga!!
#DaimaMbeleNyumamwiko#
Kikosi cha Yanga kinachoanza.
View attachment 2848149
Kikosi cha Medeama Kinachoanza.
View attachment 2848213
Dakika ya 33'
Yanga wanapata goli, kupitia kwa Pacome.
Yanga 1 - 0 Medeama
bado gemu haijaishaHaya mapochi yaani una pasia tu nyavu yaaani daaah.
Kwelì.Utulivu + umakini bado haupo
Lack of seriousness...Dah! Yanga hatuna mshambuliaji aisee!! Kennedy unakosaje goli lingine la wazi kiasi kile!! Mpaka muda huu tungekuwa tunaongoza 3-0!!!
Acha ushabiki , kwenye kundi lenu hakuna timu iliyofungwa na Wydad zaidi ya Makolo.Kweki unaifananisha Wydad na Madeame mkuu?
Kwa sababu mmeingia uwanjani bure...😂😂Hivi hawa JamiiForums ndio wanatudharau Yanga kiasi hiki?
Kwanini hakuna live updates? 😡